Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

Naona mmeamua kua waumini wa mwamposa, wote mnanena kwa lugha[emoji4]
Hapo hata sijui wanaongelea nini lkn mwishoni nimetaja majina yake aliyowahi kuyatumia humu kabla ya kujibatiza mkuu🤣
 
Naomba ulipie nikutafsirie.. maana sharti la kunena kwa lugha mmoja anapaswa atafsiri
Kuna mwekundu Hapa[emoji23]
images-501.jpg
 
Hapo hata sijui wanaongelea nini lkn mwishoni nimetaja majina yake aliyowahi kuyatumia humu kabla ya kujibatiza mkuu[emoji1787]
Ha ha ah.....
wee nae kumbe km mm,
umeamua kutembea na biti[emoji38]
 
Gaya kaka ambu hena virundu hena ili ithanga.
Jaman wekundu sio mdogo najazia buku 10 napata bando la gb 9.5....
Naomba niwatafsirie maana wanadai mnawasengenya



DeepPond
Gaya kaka - sema kaka
Ambulance- kwakuwa
Hena virundu- kuna wajinga
He ili ithanga- kwenye hii dunia
 
Mbora - binti
We fanya muamala chap Chap
Hata kama nna milion mfukoni Mia naokota
 
5000 ni ndogo kwa matumizi ya kawaida kwa siku...???
Ndogo eee
Na hapo kiwemo kila kitu ndani
Sasa mtu aanachia mtu 5000 ndani hakuna mboga hakuna mafuta,mboga za majani,hakuna mchele,ngano,vitafunwa bado vocha
 
Back
Top Bottom