Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Helaa..mi ni m-bora rae.Gaya kaka ambu hena virundu hena ili ithanga.
Hahahah hayaHelaa..mi ni m-bora rae.
Gaya kaka ambu hena virundu hena ili ithanga.
Hapo hata sijui wanaongelea nini lkn mwishoni nimetaja majina yake aliyowahi kuyatumia humu kabla ya kujibatiza mkuu🤣Naona mmeamua kua waumini wa mwamposa, wote mnanena kwa lugha[emoji4]
Naomba ulipie nikutafsirie.. maana sharti la kunena kwa lugha mmoja anapaswa atafsiriNaona mmeamua kua waumini wa mwamposa, wote mnanena kwa lugha[emoji4]
Ongeza ongeza wawe wawili nifanye kaziiKuna mwekundu Hapa[emoji23]View attachment 2480559
Mikwara mbuzi tu hao wapare wamesengenyaHa ha ah.....
wee nae kumbe km mm,
umeamua kutembea na biti[emoji38]
Jaman wekundu sio mdogo najazia buku 10 napata bando la gb 9.5....Gaya kaka ambu hena virundu hena ili ithanga.
Umetusaliti dada.,..Murungu akughenjeMbora - binti
We fanya muamala chap Chap
Hata kama nna milion mfukoni Mia naokota
Ndogo eee5000 ni ndogo kwa matumizi ya kawaida kwa siku...???
Hahahaha pesa imeniponza halaf hata sjapewaUmetusaliti dada.,..Murungu akughenje
🙊Kua na subra,Wikend haijaisha binamu[emoji4]