Mchepuko anapenda kumtaja mke wangu hata wakati wa tendo

Mchepuko anapenda kumtaja mke wangu hata wakati wa tendo

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
7,799
Reaction score
14,215
Mambo vipi ndugu zangu?

Ama baada ya salamu, ngoja sasa nielekee katika mada husika.

Kwanza kabla ya yote ningependa ieleweke kuwa mimi ni mume wa mtu, lakini kwa sasa mke wangu kasafiri kaenda kujifungua mtoto wetu wa pili kwao. Kutokana na upweke wa hapa na pale ikabidi nitafute bebee wa kunipunguzia mchoko na upweke niliokuwa nao.

Huku na huku nikakamata mwanamke anayeishi jirani na kazini kwangu ambaye pia anamfahamu vizuri mke wangu. Kinachoniudhi kutoka kwa huyu mwanamke, kila tunapokuwa naye mechini inapofika muda wa mimi kushambulia kwa kasi ili niweze kupenya ngome zake na kufunga bao utasikia analalamika eti mke niliemuoa anafaidi sana.

Namnukuu "oh baby kwa raha hizi kwa kweli mkeo anafaidi" . Lakini pia hata tukiwa tumekaa tunaongea utasikia analaumu mimi kukimbilia kuoa eti laiti ningesubiri kidogo tu pengine yeye ndo angekuwa mke wangu na zile raha zote anazopata mke angezipata yeye mwenyewe.

Nimeshajaribu kumwambia asiwe anamuongelea mwenzake lakini hasikii. Sasa ndugu zangu huyu mwanamke nimfanyaje maana kwa sasa yeye ndo anaenitoa kwenye mkwamo.
 
Naona umekuja kututangazai ufundi wako dimbani mkuu[emoji23][emoji23]

Pokea pongezi mkuu kwa mtoto wa kike maana amekubali kazi yako cha kufanya mtie moyo Kua hajachelewa bado nafac anayo ya kufaidi kama mkeo

"Hivi kwann hatukujuana mapema" ndio kauli mbiu ya mapenzi mkuu isikutishe sana[emoji23]
 
Ninamhurumia sana mke wako pamoja na ndoa yako kwa hayo mambo ya kipumbavu unayofanya. Siku si nyingi utalishwa sijui nini ......... utajikuta unamchukia mke wako na ndoa kuvunjika na kumweka huyo ndani.

Nilikuwa na bro wangu alikuwa na mchepuko kama wa kwako, kwa jinsi mke wake alivyokufa ilitia shaka sana na baada siku si nyigi mchepuko akachukuliwa kuwa mke.

Tulijaribu kuunganisha doti lakini tukaona wacha maisha yaendelee mana mwenye kujua zaidi ni Mungu. Be very careful my friend. Umejichimbia shimo ambalo siku moja utajikuta umetumbukia mwenyewe .
 
Na kuna wapumbavu wengi wanaoona kuchepuka ni hali yao, while usaliti wao ndiyo chanzo cha vifo vya wake zao. Michepuko mingi huwa inatamani mama mjengo atoke aolewe yeye, wengine ndiyo wataroga kabisa mke afe.

Ninamhurumia sana mke wako pamoja na ndoa yako kwa hayo mambo ya kipumbavu unayofanya. Siku si nyingi utalishwa sijui nini ......... utajikuta unamchukia mke wako na ndoa kuvunjika na kumweka huyo ndani. nilikuwa na bro wangu alikuwa na mchepuko kama wa kwako, kwa jinsi mke wake alivyokufa ilitia shaka sana na baada siku si nyigi mchepuko akachukuliwa kuwa mke. Tulijaribu kuunganisha doti lakini tukaona wacha maisha yaendelee mana mwenye kujua zaidi ni Mungu . Be very careful my friend. Umejichimbia shimo ambalo siku moja utajikuta umetumbukia mwenyewe .
 
Naona umekuja kututangazi ufundi wako dimbani mkuu[emoji23][emoji23]

Pokea pongezi mkuu mtoto wa kike maana amekubali kazi yako cha kufanya mtie moyo Kua hajachelewa bado nafac anayo ya kufaidi kama mkeo

"Hivi kwann hatukujuana mapema" ndio kauli mbiu ya mapenzi mkuu isikutishe sana[emoji23]
Nitaangalia jinsi ya kuufanyia kazi ushaur wako mkuu.
 
Back
Top Bottom