Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #21
Karibu sana Hornet.tunakuja pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana Hornet.tunakuja pm
Ila kuwa makini sana brother hawa wanawake wenzangu wakipima wakiona panafaa wana mambo mengi sanaKaribu sana Hornet.
Ya ni kweli sis ngoja nianze kuwa nae makini asije akanifanyia nisiyopaswa kufanyiwa.Ila kuwa makini sana brother hawa wanawake wenzangu wakipima wakiona panafaa wana mambo mengi sana
Usimtishe, wengine tunapiga show nyingi sana na familia inasonga.Ninamhurumia sana mke wako pamoja na ndoa yako kwa hayo mambo ya kipumbavu unayofanya. Siku si nyingi utalishwa sijui nini ......... utajikuta unamchukia mke wako na ndoa kuvunjika na kumweka huyo ndani. nilikuwa na bro wangu alikuwa na mchepuko kama wa kwako, kwa jinsi mke wake alivyokufa ilitia shaka sana na baada siku si nyigi mchepuko akachukuliwa kuwa mke. Tulijaribu kuunganisha doti lakini tukaona wacha maisha yaendelee mana mwenye kujua zaidi ni Mungu . Be very careful my friend. Umejichimbia shimo ambalo siku moja utajikuta umetumbukia mwenyewe .
Lipia tangazo mkuu fanya haraka sanaMambo vipi ndugu zangu? Ama baada ya salam, ngoja sasa nielekee katika mada husika. Kwanza kabla ya yote ningependa ieleweke kuwa mimi ni mume wa mtu, lakini kwa sasa mke wangu kasafiri kaenda kujifungua mtoto wetu wa pili kwao. Kutokana na upweke wa hapa na pale ikabidi nitafute bebee wa kunipunguzia mchoko na upweke niliokuwa nao. Huku na huku nikakamata dem anaeishi jirani na kazini kwangu ambae pia anamfahamu vizur mke wangu. Kinachoniudhi kutoka kwa huyu demu kila tunapokuwa nae mechini inapofika muda wa mimi kushambulia kwa kasi ili niweze kupenya ngome zake na kufunga bao utasikia analalamika eti mke niliemuowa anafaidi sana. Namnukuu "oh baby kwa raha hizi kwa kweli mkeo anafaidi" . Lakini pia hata tukiwa tumekaa tunaongea utasikia analaumu mimi kukimbilia kuowa eti laiti ningesubiri kidogo tu pengine yeye ndo angekuwa mke wangu na zile raha zote anazopata mke angezipata yeye mwenyewe. Nimeshajaribu kumwambia asiwe anamuongelea mwenzake lakini hasikii. Sasa ndugu zangu huyu demu nimfanyaje maana kwa sasa yeye ndo anaenitoa kwenye mkwamo wa nyeg..e.
tena huyu 😅😅😅Mshenzi tu wewe
Kwanini umsaliti mkeo kijinga jinga.....muheshimu mkeoMambo vipi ndugu zangu?
Ama baada ya salamu, ngoja sasa nielekee katika mada husika.
Kwanza kabla ya yote ningependa ieleweke kuwa mimi ni mume wa mtu, lakini kwa sasa mke wangu kasafiri kaenda kujifungua mtoto wetu wa pili kwao. Kutokana na upweke wa hapa na pale ikabidi nitafute bebee wa kunipunguzia mchoko na upweke niliokuwa nao.
Huku na huku nikakamata mwanamke anayeishi jirani na kazini kwangu ambaye pia anamfahamu vizuri mke wangu. Kinachoniudhi kutoka kwa huyu mwanamke, kila tunapokuwa naye mechini inapofika muda wa mimi kushambulia kwa kasi ili niweze kupenya ngome zake na kufunga bao utasikia analalamika eti mke niliemuoa anafaidi sana.
Namnukuu "oh baby kwa raha hizi kwa kweli mkeo anafaidi" . Lakini pia hata tukiwa tumekaa tunaongea utasikia analaumu mimi kukimbilia kuoa eti laiti ningesubiri kidogo tu pengine yeye ndo angekuwa mke wangu na zile raha zote anazopata mke angezipata yeye mwenyewe.
Nimeshajaribu kumwambia asiwe anamuongelea mwenzake lakini hasikii. Sasa ndugu zangu huyu mwanamke nimfanyaje maana kwa sasa yeye ndo anaenitoa kwenye mkwamo.
NdiwoooMshenzi
tena huyu 😅😅😅
Huyu ni wa muda tu kwa ajili ya kusafishia bunduki mkubwa. Lakini nitaangalia jinsi ya kuufanyia kazi ushaur wako.Achana na huyo mwanamke fasta ndugu yangu utaharibu