Mchepuko anapenda kumtaja mke wangu hata wakati wa tendo

Mchepuko anapenda kumtaja mke wangu hata wakati wa tendo

Mambo vipi ndugu zangu?

Ama baada ya salamu, ngoja sasa nielekee katika mada husika.

Kwanza kabla ya yote ningependa ieleweke kuwa mimi ni mume wa mtu, lakini kwa sasa mke wangu kasafiri kaenda kujifungua mtoto wetu wa pili kwao. Kutokana na upweke wa hapa na pale ikabidi nitafute bebee wa kunipunguzia mchoko na upweke niliokuwa nao.

Huku na huku nikakamata mwanamke anayeishi jirani na kazini kwangu ambaye pia anamfahamu vizuri mke wangu. Kinachoniudhi kutoka kwa huyu mwanamke, kila tunapokuwa naye mechini inapofika muda wa mimi kushambulia kwa kasi ili niweze kupenya ngome zake na kufunga bao utasikia analalamika eti mke niliemuoa anafaidi sana.

Namnukuu "oh baby kwa raha hizi kwa kweli mkeo anafaidi" . Lakini pia hata tukiwa tumekaa tunaongea utasikia analaumu mimi kukimbilia kuoa eti laiti ningesubiri kidogo tu pengine yeye ndo angekuwa mke wangu na zile raha zote anazopata mke angezipata yeye mwenyewe.

Nimeshajaribu kumwambia asiwe anamuongelea mwenzake lakini hasikii. Sasa ndugu zangu huyu mwanamke nimfanyaje maana kwa sasa yeye ndo anaenitoa kwenye mkwamo.
Du! Mkuu hili tangazo la bishara naona umeliweka kimtego sana; tarajia PM nyingi kutoka kwa wanawake wa JF, usidhani mpweke ni wewe tu....hata humu kuna wapweke wa kutosha.

Mkuu kama ikiwezekana muoe huyo manzi awe mke wako wa pili. Unajua wanawake wamamheshimu sana mwanaume anayejua kuwakuna na kukonga nye.ge zao. Ukimuoa huyo mwanamke nakuhakikishia atakuheshimu kuliko mke wako wa kwanza. Usichezee bahati kwenye tundu la choo mkuu.
 
Huyo keshampania mkeo, na ukiona umemkataza hajakusikia ndio keshaanza kukupanda kichwani, bila shaka anajua hata unapofanyia kazi...kama mwanaume unatakiwa uishi sana kwa akili na mwanamke...achana na tamaa za muda mfupi, heshimu ndoa yako !
 
Hivi hawa watu wanaochepuka mitaani (wake kwa waume) hua wanatokea wapi? Maana humu jeiefu ni kama hawapo kabisa..... humu naona wote ni malaika!
 
Mambo vipi ndugu zangu?

Ama baada ya salamu, ngoja sasa nielekee katika mada husika.

Kwanza kabla ya yote ningependa ieleweke kuwa mimi ni mume wa mtu, lakini kwa sasa mke wangu kasafiri kaenda kujifungua mtoto wetu wa pili kwao. Kutokana na upweke wa hapa na pale ikabidi nitafute bebee wa kunipunguzia mchoko na upweke niliokuwa nao.

Huku na huku nikakamata mwanamke anayeishi jirani na kazini kwangu ambaye pia anamfahamu vizuri mke wangu. Kinachoniudhi kutoka kwa huyu mwanamke, kila tunapokuwa naye mechini inapofika muda wa mimi kushambulia kwa kasi ili niweze kupenya ngome zake na kufunga bao utasikia analalamika eti mke niliemuoa anafaidi sana.

Namnukuu "oh baby kwa raha hizi kwa kweli mkeo anafaidi" . Lakini pia hata tukiwa tumekaa tunaongea utasikia analaumu mimi kukimbilia kuoa eti laiti ningesubiri kidogo tu pengine yeye ndo angekuwa mke wangu na zile raha zote anazopata mke angezipata yeye mwenyewe.

Nimeshajaribu kumwambia asiwe anamuongelea mwenzake lakini hasikii. Sasa ndugu zangu huyu mwanamke nimfanyaje maana kwa sasa yeye ndo anaenitoa kwenye mkwamo.
Muheshimu mkeo, tena katika kipindi hiki ambacho yupo kwenye hali ya uzazi unatakiwa uwe karibu nae na kumthamini, huyo mchepuko hatakusaidia chochote anaweza kuharibu familia yako kirahisi kwa sababu tayari anamjua mkeo
 
Soon or later atapata anachokitafuta, huyo mchepuko hana nia njema
Acha atelekeze familia ndo atatulia Kuna jizee listaafu limeharibu familia kisa michepuko na hivi hana hela wote wamemkimbia na mke kaomba talaka
 
Mambo vipi ndugu zangu?

Ama baada ya salamu, ngoja sasa nielekee katika mada husika.

Kwanza kabla ya yote ningependa ieleweke kuwa mimi ni mume wa mtu, lakini kwa sasa mke wangu kasafiri kaenda kujifungua mtoto wetu wa pili kwao. Kutokana na upweke wa hapa na pale ikabidi nitafute bebee wa kunipunguzia mchoko na upweke niliokuwa nao.

Huku na huku nikakamata mwanamke anayeishi jirani na kazini kwangu ambaye pia anamfahamu vizuri mke wangu. Kinachoniudhi kutoka kwa huyu mwanamke, kila tunapokuwa naye mechini inapofika muda wa mimi kushambulia kwa kasi ili niweze kupenya ngome zake na kufunga bao utasikia analalamika eti mke niliemuoa anafaidi sana.

Namnukuu "oh baby kwa raha hizi kwa kweli mkeo anafaidi" . Lakini pia hata tukiwa tumekaa tunaongea utasikia analaumu mimi kukimbilia kuoa eti laiti ningesubiri kidogo tu pengine yeye ndo angekuwa mke wangu na zile raha zote anazopata mke angezipata yeye mwenyewe.

Nimeshajaribu kumwambia asiwe anamuongelea mwenzake lakini hasikii. Sasa ndugu zangu huyu mwanamke nimfanyaje maana kwa sasa yeye ndo anaenitoa kwenye mkwamo.
Lipia tangazo
 
Back
Top Bottom