Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #41
Mkuu umeongea la maana sana lkn sasa nilifanya hivi kwa ajili ya kujipa msaada wa muda tu, sijawekeza kwake.Kwanini umsaliti mkeo kijinga jinga.....muheshimu mkeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umeongea la maana sana lkn sasa nilifanya hivi kwa ajili ya kujipa msaada wa muda tu, sijawekeza kwake.Kwanini umsaliti mkeo kijinga jinga.....muheshimu mkeo
Kwa mahasira yoteeeeMshenzi tu wewe
Dah mchepuko wake anafaidi....tunakuja pm
Du! Mkuu hili tangazo la bishara naona umeliweka kimtego sana; tarajia PM nyingi kutoka kwa wanawake wa JF, usidhani mpweke ni wewe tu....hata humu kuna wapweke wa kutosha.Mambo vipi ndugu zangu?
Ama baada ya salamu, ngoja sasa nielekee katika mada husika.
Kwanza kabla ya yote ningependa ieleweke kuwa mimi ni mume wa mtu, lakini kwa sasa mke wangu kasafiri kaenda kujifungua mtoto wetu wa pili kwao. Kutokana na upweke wa hapa na pale ikabidi nitafute bebee wa kunipunguzia mchoko na upweke niliokuwa nao.
Huku na huku nikakamata mwanamke anayeishi jirani na kazini kwangu ambaye pia anamfahamu vizuri mke wangu. Kinachoniudhi kutoka kwa huyu mwanamke, kila tunapokuwa naye mechini inapofika muda wa mimi kushambulia kwa kasi ili niweze kupenya ngome zake na kufunga bao utasikia analalamika eti mke niliemuoa anafaidi sana.
Namnukuu "oh baby kwa raha hizi kwa kweli mkeo anafaidi" . Lakini pia hata tukiwa tumekaa tunaongea utasikia analaumu mimi kukimbilia kuoa eti laiti ningesubiri kidogo tu pengine yeye ndo angekuwa mke wangu na zile raha zote anazopata mke angezipata yeye mwenyewe.
Nimeshajaribu kumwambia asiwe anamuongelea mwenzake lakini hasikii. Sasa ndugu zangu huyu mwanamke nimfanyaje maana kwa sasa yeye ndo anaenitoa kwenye mkwamo.
Acha roho mbaya mkuu. Asa wewe uliataka aende aka-tombe wapi wakati huu ambapo mke wake hawezi kum-tombesha? Roho mbaya hiyooo!!!Stu.pid. husband
Mbwa huyu mkewe ana mletea mtoto yeye anakitombesha hukoAcha roho mbaya mkuu. Asa wewe uliataka aende aka-tombe wapi wakati huu ambapo mke wake hawezi kum-tombesha? Roho mbaya hiyooo!!!
Muheshimu mkeo, tena katika kipindi hiki ambacho yupo kwenye hali ya uzazi unatakiwa uwe karibu nae na kumthamini, huyo mchepuko hatakusaidia chochote anaweza kuharibu familia yako kirahisi kwa sababu tayari anamjua mkeoMambo vipi ndugu zangu?
Ama baada ya salamu, ngoja sasa nielekee katika mada husika.
Kwanza kabla ya yote ningependa ieleweke kuwa mimi ni mume wa mtu, lakini kwa sasa mke wangu kasafiri kaenda kujifungua mtoto wetu wa pili kwao. Kutokana na upweke wa hapa na pale ikabidi nitafute bebee wa kunipunguzia mchoko na upweke niliokuwa nao.
Huku na huku nikakamata mwanamke anayeishi jirani na kazini kwangu ambaye pia anamfahamu vizuri mke wangu. Kinachoniudhi kutoka kwa huyu mwanamke, kila tunapokuwa naye mechini inapofika muda wa mimi kushambulia kwa kasi ili niweze kupenya ngome zake na kufunga bao utasikia analalamika eti mke niliemuoa anafaidi sana.
Namnukuu "oh baby kwa raha hizi kwa kweli mkeo anafaidi" . Lakini pia hata tukiwa tumekaa tunaongea utasikia analaumu mimi kukimbilia kuoa eti laiti ningesubiri kidogo tu pengine yeye ndo angekuwa mke wangu na zile raha zote anazopata mke angezipata yeye mwenyewe.
Nimeshajaribu kumwambia asiwe anamuongelea mwenzake lakini hasikii. Sasa ndugu zangu huyu mwanamke nimfanyaje maana kwa sasa yeye ndo anaenitoa kwenye mkwamo.
Tena super mshenzi, certified kabisaMshenzi tu wewe
And useless as wellStu.pid. husband
Sure aisee mwenzake anaenda kumletea mtoto na ku sacrifice maisha yake na lolote latokea yeye analeta Uzi wa uovu mfyuuu kweliAnd useless as well
Soon or later atapata anachokitafuta, huyo mchepuko hana nia njemaSure aisee mwenzake anaenda kumletea mtoto na ku sacrifice maisha yake na lolote latokea yeye analeta Uzi wa uovu mfyuuu kweli
Acha atelekeze familia ndo atatulia Kuna jizee listaafu limeharibu familia kisa michepuko na hivi hana hela wote wamemkimbia na mke kaomba talakaSoon or later atapata anachokitafuta, huyo mchepuko hana nia njema
Tena super mshenzi, certified kabisa
Lipia tangazoMambo vipi ndugu zangu?
Ama baada ya salamu, ngoja sasa nielekee katika mada husika.
Kwanza kabla ya yote ningependa ieleweke kuwa mimi ni mume wa mtu, lakini kwa sasa mke wangu kasafiri kaenda kujifungua mtoto wetu wa pili kwao. Kutokana na upweke wa hapa na pale ikabidi nitafute bebee wa kunipunguzia mchoko na upweke niliokuwa nao.
Huku na huku nikakamata mwanamke anayeishi jirani na kazini kwangu ambaye pia anamfahamu vizuri mke wangu. Kinachoniudhi kutoka kwa huyu mwanamke, kila tunapokuwa naye mechini inapofika muda wa mimi kushambulia kwa kasi ili niweze kupenya ngome zake na kufunga bao utasikia analalamika eti mke niliemuoa anafaidi sana.
Namnukuu "oh baby kwa raha hizi kwa kweli mkeo anafaidi" . Lakini pia hata tukiwa tumekaa tunaongea utasikia analaumu mimi kukimbilia kuoa eti laiti ningesubiri kidogo tu pengine yeye ndo angekuwa mke wangu na zile raha zote anazopata mke angezipata yeye mwenyewe.
Nimeshajaribu kumwambia asiwe anamuongelea mwenzake lakini hasikii. Sasa ndugu zangu huyu mwanamke nimfanyaje maana kwa sasa yeye ndo anaenitoa kwenye mkwamo.