Mchepuko anapenda kumtaja mke wangu hata wakati wa tendo

Utapigwa na kitu kizito kichwani mda si mrefu

kama unaendaga kwa babu ni wakati muafaka sasa mtembelee...
 
Ila kuwa makini sana brother hawa wanawake wenzangu wakipima wakiona panafaa wana mambo mengi sana
Ya ni kweli sis ngoja nianze kuwa nae makini asije akanifanyia nisiyopaswa kufanyiwa.
 
Acha kumpa ela yani namaanisha mkope baada ya shughuli mwambie baby leo sina kitu alafu uone kama utayasikia hayo maneno!
 
Usimtishe, wengine tunapiga show nyingi sana na familia inasonga.
Afanye kwa akili tu.
 
Unafki wetu sisi binadamu, hapa litakuja jitu lina mke au mume halafu lina michepuko kibao lakini na lenyewe litamkanya jamaa na kumpa vitisho kibao.
Gonga nyapu jombaaaa, hizo ndude tumeumbiwa sisi wanaume, wakitaka reference wape tu story za mfalme selemani na wake zake 700 pamoja na madanga yake 300.
 
Lipia tangazo mkuu fanya haraka sana
 
Bwege kabisa, kwanza utapelekaje mwanamke wako kwao huko ni kuogopa majukumu huna hata aibu.
 
Subiria muachane kama hajasema unakibamia mkuu hawa watu hawaelewekagi we kula mbususu tu apo
 
Na wewe uwe unamtaja mumeo wkt wa tendo.
 
Kwanini umsaliti mkeo kijinga jinga.....muheshimu mkeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…