Mchepuko kaomba godoro, wapi nitapata kava nzuri za godoro niweke kwenye godoro ambalo silitumii

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2018
Posts
983
Reaction score
2,306
Ni hivi penzi bado jipya kabisa.

Na kitoto cha elfu 2.

Kimeomba godoro.

Siwezi kutoa laki 2 au 3 kununua godoro jipya ila nyumbani kwangu Nina godoro ambalo sili tumii.

Ni yale magodoro ya elfu themanini yale ambayo yana ma kava laini ya kuingiza na kutoa.

Kava tayari lilisha toka muda mrefu sana na godoro lipo store kwa sasa.

Limebaki sponji tupu yani ukilalia asubuhi lazima uamke na mafua makali sana plus magodoro kichwani.

Nataka ninunue cushion za magodoro then niliweke godoro hili ndani ya hiyo cushion kisha umpelekee huyu mrembo yeye aone kama godoro jipya.

Swali ni je nitapata wapi hizo cushions na bei zake ni sh ngapi?

Nipo Dar asanteni sana
 
Zama KKoo mwanawane umchukulie na carpet oa unyoya
 
Kaka kuna mwenzetu Kuacha pea huko Moshi ohoooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…