Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
- Thread starter
- #41
Watu wana complicate sana kuhusu maisha wanasahau kuishiE e e easy
Bora hata wewe umesema hivo kipaumbele chako ni starehe..
πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wana complicate sana kuhusu maisha wanasahau kuishiE e e easy
Bora hata wewe umesema hivo kipaumbele chako ni starehe..
πππππ
Ila wewe sasa,,, hata kama sio complicater daah wee ni too much aiseee πππππWatu wana complicate sana kuhusu maisha wanasahau kuishi
Mtoto anayajua sana mambo kitandani ndio maana nataka nigharamieIla wewe sasa,,, hata kama sio complicater daah wee ni too much aiseee πππππ
πππ Kweli furaha yetu sio pesaMtoto anayajua sana mambo kitandani ndio maana nataka nigharamie
Imagine unaletewa mikosi na mabalaa imeambatana na godoro kuu kuu.πππ
tutafute Pesa tu hata kwa kuwa wavuvi..π
ππImagine unaletewa mikosi na mabalaa imeambatana na godoro kuu kuu.
Usiulize babu pigia mstariAlafu mkiachana unaenda kumnyang'anya sindiyo...?
Angalia uwezo wa mtu ndugu,unataka siku akimtosa au kumfumania amcharande mapangaAcha umaskini laki 8.5 inakushinda kumhonga kitanda godoro na kapeti [emoji4][emoji4][emoji4]
π€£π€£π€£π€£Angalia uwezo wa mtu ndugu,unataka siku akimtosa au kumfumania amcharande mapanga
Kumkata kata mapanga mwanamke huo ni udhaifu mkubwa Sana, mwanamke hapigwi kwa panga au fimbo πππππAngalia uwezo wa mtu ndugu,unataka siku akimtosa au kumfumania amcharande mapanga
Mkuu, kweli wewe huwa unahonga zote hizo? Unafanya kadri ya uwezo, kama saizi yako ni Tecno kitochi kwanini uhangaike na iphone sijui ngapi huko!Acha umaskini laki 8.5 inakushinda kumhonga kitanda godoro na kapeti [emoji4][emoji4][emoji4]