Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 huwezi kuwa mchep nilichomekea tumimi sio mchepuko dada mweee 😂😂😂ila huo msamba wa pua umenifurahisha
Unataka nikupe fimbo uikune ?Acha kuwashwashwa
kinaongea kwa kujiamini kam kinatoa shuhuda kwa mwamposa🤣🤣🤣 huwezi kuwa mchep nilichomekea tu
Kaniboa yani kashindwa kutulia km alivyotulia wakati anakula, kuvuruga roho za watu tu,
Mpelekee bwana akoUnataka nikupe fimbo uikune ?
Ndio uache uzinzi sasaKuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani.
Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam.
Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga.
Marehemu alikuwa ameoa na ana mtoto,
Katikati ya majonzi msibani akaibuka huyu nusu mtu nini sijui na kudai yeye eti alikuwa mchepuko wa mtumishi amezaa nae na anataka mgawo wa mali au mtoto atambulike rasmi
Mchepuko umekuja na kadi ya clinic ,mawasiliano ya watsapp na picha walizopiga na marehemu kama ushahidi
yaani disco luliingia mmasai.
kwa nini hakusubiri msiba ukaisha akaenda kistaarabu kujitambulisha.
nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo.na ninavyo heshimika kanisani
apana,,ni kapumbavu kabisa,bora mjinga anafundishikaKajinga sana
Na hiyo mikato ndio yenyewe sasaUnakuta kitu mnato ndio shida ipo hapo
Nooo kumpunguzia wife majukumu bwan weweeeeeUnavyoheshimika kanisani ila unazini
Wanaume mtakufa midomo wazi jamani! Yani mke unalia misiba miwili, kumpoteza mume na usaliti aliokuwa akikufanyia mume mpaka na mtoto wakazaa kabisa!Kuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani.
Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam.
Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga.
Marehemu alikuwa ameoa na ana mtoto,
Katikati ya majonzi msibani akaibuka huyu nusu mtu nini sijui na kudai yeye eti alikuwa mchepuko wa mtumishi amezaa nae na anataka mgawo wa mali au mtoto atambulike rasmi
Mchepuko umekuja na kadi ya clinic ,mawasiliano ya watsapp na picha walizopiga na marehemu kama ushahidi
yaani disco luliingia mmasai.
kwa nini hakusubiri msiba ukaisha akaenda kistaarabu kujitambulisha.
nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo.na ninavyo heshimika kanisani
❤️❤️❤️❤️❤️Mama prety i miss you