''Mchepuko'' ulivyotaka kuharibu shughuli ya msiba wa muimbaji wa nyimbo za injili Marco wa Zabron Singers

''Mchepuko'' ulivyotaka kuharibu shughuli ya msiba wa muimbaji wa nyimbo za injili Marco wa Zabron Singers

Hayupo sahihi ndugu yangu, kulikuwa na njia nyingi nzuri za kufikisha ujumbe wake tofauti na hio aliyofanya.
Amemuibisha baba wa mtoto wake na moja kwa moja amemuibisha mtoto wàke maana kumbukumbu zinadumu haswa kipindi hiki cha ukuwaji wa teknolojia ya habari.

Swala la mwanaume kufanya hio mnayoita kuchepuka hamna namna mnaweza kuelezwa mkaekewa kama sio nwanaume, wanaume kuna aina fulani ya mapito tunayopita baada ya kuoa hayaelezeki kwa lugha inayoeleweka kwa asiye mwanaume.

Ingekuwa inawezekana mwanaume asijihusishe na kitu kinachoitwa ndoa maisha ya mwanaume yengekuwa bora sana, lakini kwajili ya uzazi na kuendeleza uzao na malezi bora kwa watoto kwa mustakbali wa maisha ya kizazi kijacho mwanaume anatoa sadaka maisha yake.
Baba wa huyo mtoto ambaye ndo marehemu ndo kaiabisha familia yake.

Kama ni kweli huwa mnaoa kwaajili ya kupata watoto iweje upate watoto na mke wako halafu uende tena kuzaa huko nje? Sio lazima uoe ndo uweze kupata watoto...mnaweza kuzaa bila ndoa kama ambavyo mnafanya hata baada ya kuoa. Unataka kujustify tabia mbaya ionekane ni nzuri.


Nasimama na huyo dada...kafanya jambo jema. Mlitaka atumie busara ipi wakati kachanganyikiwa.

Busara ingekuwa marehemu kumtambulisha mtoto wake kabla hajafa.
 
Hakuna mtoto haram.

Wanaharam ni wazazi waliomleta duniani kiumbe asiekuwa na hatia kwa tamaa za miili yao na kuruhusu malaika huyo ahukumiwe na standard za kinafiki za walimwengu.
Kama ni hivyo basi tukubaliane na aliyoyafanya huyo mchepuko.
Mtoto halali ana haki ya kujulikana na kushiriki mazishi ya baba yake.
 
Kuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani.

Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam.

Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga kwao na marehemu.

Marehemu alikuwa ameoa na ana watoto.

Katikati ya majonzi msibani akaibuka huyu nusu mtu nini sijui na kudai yeye eti alikuwa mchepuko wa mtumishi amezaa nae na anataka mgawo wa mali au mtoto atambulike rasmi.

Mchepuko umekuja na kadi ya clinic, mawasiliano ya WhatsApp na picha walizopiga na marehemu kama ushahidi.

Yaani disco aliingia mmasai. Kwanini hakusubiri msiba ukaisha akaenda kistaarabu kujitambulisha.

Nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo na ninavyo heshimika kanisani.

siku zote huwa tunawaambia wasabato waokoke, kushika amri kumi na ufarisayo hauwezi kuwasaidia kushinda dhambi. huyo dada alikuwa sahihi, au hamtaki mtoto huyo aliyezaa naye alie msiba wa baba yake, na mnafikiri kama asingekuja hapo msibani, baada ya msiba hao wasabato wangemuelewa kimyakimya?

mshaurini, kama kwenye cheti kuna jina la baba, au kwenye kadi, atafute wanasheria wamsaidie apate mgao, huyo mtoto hana hatia, wenye hatia ya uzinzi ni huyo dada na marehemu. mtoto anastahili mgao.
 
siku zote huwa tunawaambia wasabato waokoke, kushika amri kumi na ufarisayo hauwezi kuwasaidia kushinda dhambi. huyo dada alikuwa sahihi, au hamtaki mtoto huyo aliyezaa naye alie msiba wa baba yake, na mnafikiri kama asingekuja hapo msibani, baada ya msiba hao wasabato wangemuelewa kimyakimya?

mshaurini, kama kwenye cheti kuna jina la baba, au kwenye kadi, atafute wanasheria wamsaidie apate mgao, huyo mtoto hana hatia, wenye hatia ya uzinzi ni huyo dada na marehemu. mtoto anastahili mgao.
Wanaume haturifhiki na mke mmoja
 
Kuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani.

Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam.

Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga kwao na marehemu.

Marehemu alikuwa ameoa na ana watoto.

Katikati ya majonzi msibani akaibuka huyu nusu mtu nini sijui na kudai yeye eti alikuwa mchepuko wa mtumishi amezaa nae na anataka mgawo wa mali au mtoto atambulike rasmi.

Mchepuko umekuja na kadi ya clinic, mawasiliano ya WhatsApp na picha walizopiga na marehemu kama ushahidi.

Yaani disco aliingia mmasai. Kwanini hakusubiri msiba ukaisha akaenda kistaarabu kujitambulisha.

Nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo na ninavyo heshimika kanisani.

Ana haki yake, huyo mama, kuwa Mumbaiji wa injili, haina maana alikuwa mtakatifu, kama aliishi kama mshenzi mshenzi! Asituachie watoto wasio na msaada,
 
Back
Top Bottom