Mchepuko umenizalia 'Twins' kwa surprise

Pale wazinzi wanaposhauriana kizinzi.

Mleta mada, naomba uwalee hao watoto mapacha pia ukamtambulishe kwa mkeo ya kuwa umepata double package and blessings from another wife.

Mungu akusaidie sana wapate mapenzi yenu wazazi wote wawili.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]wazinzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaa hapo unawaombea hata wafe..kwa taarifa yako wa nje huwa hawafi...kazi kwako mzee wa tubeless
 
Hii chai imeungwa vizuri kweli ila haibadili maana kuwa ni chai 😝
 
Pale wazinzi wanaposhauriana kizinzi.

Mleta mada, naomba uwalee hao watoto mapacha pia ukamtambulishe kwa mkeo ya kuwa umepata double package and blessings from another wife.

Mungu akusaidie sana wapate mapenzi yenu wazazi wote wawili.
Huo ugomvi wake muamuzi lazma awe DPP πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…