Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na akidhaa anazaa dume au jike tasaSasa gharama zimeongezeka... Kweli ng'ombe wa masikini hazai...
Watu wanajianika kwa sifa (badala ya kwa 'raha')zao JF!Ila wewe jamaa kiboko huyu mchepuko wa kinondoni si alikua hausigeli wako ukampiga denda mbele ya mke wako. Alivyofukuzwa kurudi kwao iringa ukamrudisha na kumpangia kinondoni????
Ina maana ukahama home na kuhamia kwa housegirl???????
Nimekuvulia kofia man. Ila lea hao watoto.
Na walikupaje uzee wa kanisa wakati ulimbandua mama mchungaji wa sinza? Ulivyohama ulisamehewa?
Nilivyoponyoka fumanizi namnani
Nilikuwa natafuna mke wa mchungaji kila Ijumaa (ile mida ya mchana). Naenda namchukua pale jengo la VIVA (ofisi kapuni), naenda mtafuna Namnani mpaka saa 11 jioni namrudisha kwake Ubungo Maziwa saaafi. Sasa kumbe Baba Mchungaji anatufuatilia. Sasa siku ya siku natafuna chumbani, bibie akawa...www.jamiiforums.com
[emoji16][emoji16]Huenda hata hao watoto uliozaa na wife wako, pia nao ni watoto wa mchepuko wa Wife wako,
Every action has an equal opposite reaction.
Kama mjuavyo makazi ni Kerege Sasa kutokana na umbali kwenda kazini (Posta mpya CBD) nikaja kupanga chumba tena kimoja maeneo ya Kinondoni Studio.
Basi, nikapata mchepuko wa kupunguza ashki katikati ya wiki (huku na kule) akanasa mimba. Sasa kajifungua Jana (Jumapili) nikawa nipo na wife Kerege sikuweza kwenda kuwaona hospitali.
Alfajiri leo (Jumatatu) nikawahi Kairuki Hospitali nikiwa njiani Mzazi mwenzangu (mchepuko) akatuma text ana surprise yangu namuuliza nini? Hajibu, ile nafika hospitali nakuta manesi wameniandalia kiti kabisa cha kukaa.
Aisee dakika 2 baadae naletewa mapacha (nimefanana nao hatari) niwabebe na picha nikapigwa toka saa 12 asubuhi nimeduwaa siamini kilichotokea.
Nawaza mengi nahitaji msaada wa kisaikolojia ndugu zangu. Hii Hali sikuitegemea.
NB: Usharikani Kerege ni mzee wa Kanisa sijui Mchungaji akijua itakuaje?
Sasa zimekuwa mara 1000 [emoji3][emoji3][emoji3]Afadhali usingehamia Kerege maana dhumuni la mchakato mzima ilikuwa ni kuokoa gharama.
Pale wazinzi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Pale wazinzi wanaposhauriana kizinzi.
Mleta mada, naomba uwalee hao watoto mapacha pia ukamtambulishe kwa mkeo ya kuwa umepata double package and blessings from another wife.
Mungu akusaidie sana wapate mapenzi yenu wazazi wote wawili.
Jipe moyoMke hatajua. Maana huku Mjini hajagi kabisa si unajua wanawake wa Ki-rombo na ufugaji wa Nguruwe
Ina maana mimba yake ilikuwa imejificha kwa kinena?Kama mjuavyo makazi ni Kerege Sasa kutokana na umbali kwenda kazini (Posta mpya CBD) nikaja kupanga chumba tena kimoja maeneo ya Kinondoni Studio.
Basi, nikapata mchepuko wa kupunguza ashki katikati ya wiki (huku na kule) akanasa mimba. Sasa kajifungua Jana (Jumapili) nikawa nipo na wife Kerege sikuweza kwenda kuwaona hospitali.
Alfajiri leo (Jumatatu) nikawahi Kairuki Hospitali nikiwa njiani Mzazi mwenzangu (mchepuko) akatuma text ana surprise yangu namuuliza nini? Hajibu, ile nafika hospitali nakuta manesi wameniandalia kiti kabisa cha kukaa.
Aisee dakika 2 baadae naletewa mapacha (nimefanana nao hatari) niwabebe na picha nikapigwa toka saa 12 asubuhi nimeduwaa siamini kilichotokea.
Nawaza mengi nahitaji msaada wa kisaikolojia ndugu zangu. Hii Hali sikuitegemea.
NB: Usharikani Kerege ni mzee wa Kanisa sijui Mchungaji akijua itakuaje?
Pimbi wewe furahia. Hivi hao mapacha wakija kuwa marais au ma Biligate then kwenye sherehe wakatambulisha huyu ni Baba yangu na Mama yangu (huyo mkeo) na mama yangu mzazi (mama yao) je hutafurahi? Mshukuru Mungu sana, watanzania tunahitaji kuzaliana sana.Kama mjuavyo makazi ni Kerege Sasa kutokana na umbali kwenda kazini (Posta mpya CBD) nikaja kupanga chumba tena kimoja maeneo ya Kinondoni Studio.
Basi, nikapata mchepuko wa kupunguza ashki katikati ya wiki (huku na kule) akanasa mimba. Sasa kajifungua Jana (Jumapili) nikawa nipo na wife Kerege sikuweza kwenda kuwaona hospitali.
Alfajiri leo (Jumatatu) nikawahi Kairuki Hospitali nikiwa njiani Mzazi mwenzangu (mchepuko) akatuma text ana surprise yangu namuuliza nini? Hajibu, ile nafika hospitali nakuta manesi wameniandalia kiti kabisa cha kukaa.
Aisee dakika 2 baadae naletewa mapacha (nimefanana nao hatari) niwabebe na picha nikapigwa toka saa 12 asubuhi nimeduwaa siamini kilichotokea.
Nawaza mengi nahitaji msaada wa kisaikolojia ndugu zangu. Hii Hali sikuitegemea.
NB: Usharikani Kerege ni mzee wa Kanisa sijui Mchungaji akijua itakuaje?
Sijakataa watoto Hawa. Ndio tunasubiri kuruhusiwa hapa hospitalin Kairuki. Asanteni kwa salamu za Pongezi, zimefika.Kwani ulikuwa hujui kama kuna kinga? Ila ukataka nyama kwa nyama utamu kama wote hadi kisogoni. Unataka kumtelekeza awe singo maza?
Mwambie wife akupongeze Baba wawili na mwambie unajiandaa kufunga ndoa na mama wawili hivi karibuni. Hongera sana Mkuu.
Mke hatajua. Maana huku Mjini hajagi kabisa si unajua wanawake wa Ki-rombo na ufugaji wa Nguruwe
Asee. Kumbe wewe ni mzee wetu wa usharika hapa KeregeKama mjuavyo makazi ni Kerege Sasa kutokana na umbali kwenda kazini (Posta mpya CBD) nikaja kupanga chumba tena kimoja maeneo ya Kinondoni Studio.
Basi, nikapata mchepuko wa kupunguza ashki katikati ya wiki (huku na kule) akanasa mimba. Sasa kajifungua Jana (Jumapili) nikawa nipo na wife Kerege sikuweza kwenda kuwaona hospitali.
Alfajiri leo (Jumatatu) nikawahi Kairuki Hospitali nikiwa njiani Mzazi mwenzangu (mchepuko) akatuma text ana surprise yangu namuuliza nini? Hajibu, ile nafika hospitali nakuta manesi wameniandalia kiti kabisa cha kukaa.
Aisee dakika 2 baadae naletewa mapacha (nimefanana nao hatari) niwabebe na picha nikapigwa toka saa 12 asubuhi nimeduwaa siamini kilichotokea.
Nawaza mengi nahitaji msaada wa kisaikolojia ndugu zangu. Hii Hali sikuitegemea.
NB: Usharikani Kerege ni mzee wa Kanisa sijui Mchungaji akijua itakuaje?
Namuonea huruma mke wakoMke hatajua. Maana huku Mjini hajagi kabisa si unajua wanawake wa Ki-rombo na ufugaji wa Nguruwe