Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Una roho mbaya, hata kama msema kweli ni mpenzi wa Mungu lakini siyo kwa kiwango hiki....hahahaAfadhali usingehamia Kerege maana dhumuni la mchakato mzima ilikuwa ni kuokoa gharama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una roho mbaya, hata kama msema kweli ni mpenzi wa Mungu lakini siyo kwa kiwango hiki....hahahaAfadhali usingehamia Kerege maana dhumuni la mchakato mzima ilikuwa ni kuokoa gharama.
Endelea kufuga ujinga.Ni science gani hiyo uliyosoma ndugu , hakuna kitu kama hicho, nenda Israel utajua kwamba IQ hurithishwa toka kizazi mpaka kizazi via genetics za wazazi
Mke hatajua. Maana huku Mjini hajagi kabisa si unajua wanawake wa Ki-rombo na ufugaji wa Nguruwe
Ipo .Scientifically IQ ya mtu haitokani na genetics,IQ ya mtu ni malezi na mazingira aliyokulia,hakuna uhusiano kati ya iq na genetics.
He is frustrated
Aaah lazima nikamwambie dada yangu kumbafuuMke hatajua. Maana huku Mjini hajagi kabisa si unajua wanawake wa Ki-rombo na ufugaji wa Nguruwe
Toa mifano acha wogaIpo .
Mifano ni mingi
Genetic inahusika sana kwenye IQ ya mtoto
Na Mungu pia maana alikupa mke we ukaamua ukazini na mwanamke mwingine ukambembesha mimba kabisaKiukweli Ni aibu Mbele ya Mchungaji usharikani kwangu.
Tatizo umri wakohii ni first time kusikia mtu anafanana na kichanga...
Dunia haina siri hata, subiri wakati ufike hakna rangi utaacha kuona.Mke hatajua. Maana huku Mjini hajagi kabisa si unajua wanawake wa Ki-rombo na ufugaji wa Nguruwe