Pole sana mkuu, na ninakusikitikia sana kwa jinsi ulivyo na high level of stupidity.....
Yaani unaibiwa na mchepuko alafu unakuja kujisifia mbele ya wanaume...!!
Hivi wanaume tutabadilika lini..??
Maana hapo nina hakika wewe ni wakumuhudumia, alafu yupo dogo mwingine kwaajili ya kumkaza. Na inawezekana mchepuko ulisha kutambulisha kwa huyo dogo kwamba ni classmet wake.
Anyway, siku yakikukuta usije tu ukatumia bastola kama wenzako....
Sawa mkuuTake care
ha ha ha haKomaa
Kwakifupi, huko ndipo nilipo pitia kama tuisheni, kabla ya kufika hapa nilipo leoUzoefu au?
ha ha ha haUzoefu au?
Kweli mkuu,imebidi nimpatie kitambi kama ukumbusho mkuuHudumia tu, ila athari zake utaziona baadae! Amini nakwambia, hakuna mtu dhaifu kwa mke wake.
Penzi la wizi ni sawa na athari zinazowapata wavuta madawa, huwezi kuziona leo.
Anakupamba sana kwa sababu bado anahitaji huduma zako. Ila yawezekana anamponda kwako ila akirudi kwa mumewe full respect.
Kwakifupi, huko ndipo nilipo pitia kama tuisheni, kabla ya kufika hapa nilipo leo
Sio kila kosa linarekebishwa kwa kutenda kosa lingine mkuu. Bali mengine vijana wanapaswa wajifunze kutoka kwa makosa yenye waliyafanya wazazi/wakubwa zaoUsimwogopeshe basi, mwache asome tuisheni ...aje kufaulu kama wewe.
Niko naye kwa starehe tu...kuhusu wa maisha yupo na anendelea na project zake.Usimwogopeshe basi, mwache asome tuisheni ...aje kufaulu kama wewe.
ha ha ha ni kweli mkuuUkihudumia vizuri hata kama una kiba100 utaambiwa ya punda
Kweli mkuu ila tupo kwenye makubaliano ya win/win situationSio kila kosa linarekebishwa kwa kutenda kosa lingine mkuu. Bali mengine vijana wanapaswa wajifunze kutoka kwa makosa yenye waliyafanya wazazi/wakubwa zao
Ukiwa mwepesi wa kutoa huduma zote unapata bila kikwazoUmesahau kuwa na mapenzi ya kweli, hapo hata blowjob utapewa kila siku kabla ya kwenda kazini.
Mchepuko umepagawa na huduma.
Kutokana na ninavyomjali; , chuo, matibabu n.k sasa hivi amechanganyikiwa kabisa. Ananiuliza 'nilikuwa wapi siku zote hadi nikaolewa na yule mbulula'. Mbaya zaidi sasa ananiita mume na ananisihi kama ikiwezekana awe mke wa pili. Mi nabaki kumuitikia tu sawa,muda ukifika tutafanya hivyo ingawa najua itakuwa ngumu kuja kuhalalisha kuwa mke wa pili. Nilichogundua hawa viumbe ukiwapa huduma staiki; staili zote utapewa na majina ya kila namna ya kimahaba utapata. Ila usipotekeleza mahitaji yao....utakuwa unabaniwa mechi hadi kuhisi dunia imekutenga.
Sio kila kosa linarekebishwa kwa kutenda kosa lingine mkuu. Bali mengine vijana wanapaswa wajifunze kutoka kwa makosa yenye waliyafanya wazazi/wakubwa zao
Ha ha ha ha kweli mkuu,kujiandaa muhimuUsije ukanyonga atakapobadili gia angani
Niko naye kwa starehe tu...kuhusu wa maisha yupo na anendelea na project zake.
Pambana mkuu, na huo ndio uanaume.Kweli mkuu ila tupo kwenye makubaliano ya win/win situation