SK2016
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 8,016
- 13,780
Hudumia tu, ila athari zake utaziona baadae! Amini nakwambia, hakuna mtu dhaifu kwa mke wake.
Penzi la wizi ni sawa na athari zinazowapata wavuta madawa, huwezi kuziona leo.
Anakupamba sana kwa sababu bado anahitaji huduma zako. Ila yawezekana anamponda kwako ila akirudi kwa mumewe full respect.
Penzi la wizi ni sawa na athari zinazowapata wavuta madawa, huwezi kuziona leo.
Anakupamba sana kwa sababu bado anahitaji huduma zako. Ila yawezekana anamponda kwako ila akirudi kwa mumewe full respect.