Mchepuko umepagawa na huduma

Acha undezi boss hapo unachunwa tu! Wanawake hawako hivo unavomfikilia

Kaa utafakari hizo huduma huwa unatoboka kiasi gani cha pesa? Wekeza kwa mkeo na familia yako hao malaya ukiishiwa hawatakujua! Unabembelezwa kipuuzi kabisa na wewe unabembelezeka,
 
Kabla hujaolewa ? Harafu unaitwa mume nisaidieni kuelewa ndugu.
 
Bado upo naye?

Tupe mrejesho
 
Katika kikao kilichopita tulikwisha kubaliana kwamba mwanamke anapenda apewe material stuff kisha ndio atoe tunda. Ila mwanaume anapenda ngono zaidi so lazma atoboke ili apewe tunda.
 
Umesahau kuwa na mapenzi ya kweli, hapo hata blowjob utapewa kila siku kabla ya kwenda kazini.
Sababu unahudumiwa tu? Wanawake ni wanafiki sana yaniπŸ˜… na unafiki wenu hujidhihirisha siku huduma zikikata ghafla
 
Hapa ulidanga kwa weledi! πŸ˜…
 
Sure, kuna institute moja hapo nyumbani, kuna watu wamebakizwa kwa kigezo cha ku mingle na instructors wale waliokuwa wanabana bila sababu maisha yamewapiga sana huko mtaani hadi huruma.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kwahio unawasihi waachie kwa weledi sio? Vipi afya yako iko salama lakini maana unaweza ukafanikiwa upande mmoja mwengine ukajikuta umefeli
 
Katika kikao kilichopita tulikwisha kubaliana kwamba mwanamke anapenda apewe material stuff kisha ndio atoe tunda. Ila mwanaume anapenda ngono zaidi so lazma atoboke ili apewe tunda.
Uko sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…