Mchepuko umepagawa na huduma

Mchepuko umepagawa na huduma

Ukiwa mwepesi wa kutoa huduma zote unapata bila kikwazo
Ndio, nakumbuka way's back nilipokuwa chuo. Kuna huyu Prof alitokea kuvutiwa nami, mwanzo nilimsumbua baadae ikabidi nimkubalie hakika niliyafurahia maisha ya chuo nimemaliza na GPA nzuri tu na sasa kanitafuta chuo nipo cyprus nachukua masters yangu. Wakati mwingine ni vyema kuachia tu lakni sio kwa kila mtu, hakikisha tu ni mtu ambaye ataweza kukushika mkono.
 
Ndio, nakumbuka way's back nilipokuwa chuo. Kuna huyu Prof alitokea kuvutiwa nami, mwanzo nilimsumbua baadae ikabidi nimkubalie hakika niliyafurahia maisha ya chuo nimemaliza na GPA nzuri tu na sasa kanitafuta chuo nipo cyprus kwa sasa nachukua masters yangu. Wakati mwingine ni vyema kuachia tu lakni sio kwa kila mtu, hakikisha tu ni mtu ambaye ataweza kukushika mkono.
Kweli nakubaliana nawe, wako wengi waliofanikiwa kwa staili hiyo...ingawa ni wachache wanaosema kweli.
 
Kweli nakubaliana nawe, wako wengi waliofanikiwa kwa staili hiyo...ingawa ni wachache wanaosema kweli.
Sure, kuna institute moja hapo nyumbani, kuna watu wamebakizwa kwa kigezo cha ku mingle na instructors wale waliokuwa wanabana bila sababu maisha yamewapiga sana huko mtaani hadi huruma.
 
Mchepuko umepagawa na huduma.
Kutokana na ninavyomjali; , chuo, matibabu n.k sasa hivi amechanganyikiwa kabisa. Ananiuliza 'nilikuwa wapi siku zote hadi nikaolewa na yule mbulula'. Mbaya zaidi sasa ananiita mume na ananisihi kama ikiwezekana awe mke wa pili. Mi nabaki kumuitikia tu sawa,muda ukifika tutafanya hivyo ingawa najua itakuwa ngumu kuja kuhalalisha kuwa mke wa pili. Nilichogundua hawa viumbe ukiwapa huduma staiki; staili zote utapewa na majina ya kila namna ya kimahaba utapata. Ila usipotekeleza mahitaji yao....utakuwa unabaniwa mechi hadi kuhisi dunia imekutenga.
Unamsomesha unategemea akwambie nini? Yaonyesha ndio unaanza kukutana na wanawake. Watakumaliza.
 
Sure, kuna institute moja hapo nyumbani, kuna watu wamebakizwa kwa kigezo cha ku mingle na instructors wale waliokuwa wanabana bila sababu maisha yamewapiga sana huko mtaani hadi huruma.
Kweli mkuu,haya mambo yapo hata maofisini n.k
 
Mchepuko umepagawa na huduma.
Kutokana na ninavyomjali; , chuo, matibabu n.k sasa hivi amechanganyikiwa kabisa. Ananiuliza 'nilikuwa wapi siku zote hadi nikaolewa na yule mbulula'. Mbaya zaidi sasa ananiita mume na ananisihi kama ikiwezekana awe mke wa pili. Mi nabaki kumuitikia tu sawa,muda ukifika tutafanya hivyo ingawa najua itakuwa ngumu kuja kuhalalisha kuwa mke wa pili. Nilichogundua hawa viumbe ukiwapa huduma staiki; staili zote utapewa na majina ya kila namna ya kimahaba utapata. Ila usipotekeleza mahitaji yao....utakuwa unabaniwa mechi hadi kuhisi dunia imekutenga.
ulikuwa hujui? maana yake hauvitoi hivyo kwa mkeo nyunbani? duuh mkuu unahuzunisha.
 
Back
Top Bottom