Mchepuko wangu anahitaji ushauri kuhusu biashara ya mbao

Mchepuko wangu anahitaji ushauri kuhusu biashara ya mbao

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Jamani huyu ni mchepuko wangu wa muda mrefu sana.

Sasa alinunua shamba la miti huko iringa miaka mingi nyuma, na this time ndio ile miti imeshakuwa kwenye stage ya kuvunwa.

Sasa walikuja wachina wakataka kumpa M50 akachomoa. Ndio jana baada ya penzi letu zito akiwa amelala kifuani mwangu akaniuliza, Baby Brojust nina aidia ya kuvuna ile miti kuicharanga kuwa mbao na kuleta mjini kwa ajili ya kuanzisha workshop ya ferniture, yaani material zote zinakuwa kwangu mimi namtafuta fundi tu na vibarua.

Nikamjibu kwamba mimi sina uzoefu ngoja nina jamaa zangu nitawauliza. Basi akaniambia nitashukuru sana. Baada ya hapo tukaenda wote bafuni kuoga ili tuendelee na mechi.

Nawashukuru sana. Naomba mawazo yenu.
 
yn avne mwenyew hen afungue workshp mwenyew? mzee mbn hyo ela yake utachelewa sana kuila"mshawish awauzie hy50m wachna akupe mgao wak mkuu,
 
Back
Top Bottom