Mchepuko wangu hautaki mawasiliano mwezi mtukufu lakini hela unataka

Mchepuko wangu hautaki mawasiliano mwezi mtukufu lakini hela unataka

Mwambie awe anaijia hiyo hela, unamfuturu kwanza ndo unampa
Ha haa..ushauri wako ni mzuri lkn huoni km atajisikia km ananyanyasika!? Me naona njia nzuri ni kumuacha tu kwa huu muda. Km me ni haramu,hela zangu haziwezi kuwa safi..!
 
Wana MMU
Salaam;

Me ni mkristo,nna mke na nimeoa kwa ndoa miaka zaidi ya 10 iliyopita.
Mambo ya Dunia nayo hayakwepeki,nna mchepuko wangu nilioanza nao mwezi uliopita.

Mchepuko wangu ni wa imani ya upande wa pili Muislam. Leo mida ya saa 7 kanitumia ujumbe kunijulisha kwamba,tulivyoonana juzi hatutaonana tena hadi mwezi mtukufu wa Ramadhani utakapopita. Mwanzo nilijua anatania,lkn baadae kaonyesha msisitizo.

Me nikamuuliza huo mwezi mtukufu si ni mwezi ujao? Kasema kuanzia mwezi huu inatakiwa kuanza kujiandaa kwa kuacha maovu. Na akasema huo mfungo wenyewe ukianza hata simu wala message nisimtumie.

Tatizo limekuja kwenye hela..! Anasema hela ya matumizi km inawezekana nimpe kabisa hela ya mwezi mzima,ambayo ni laki 3. Me nikamwambia kwanza sina hiyo hela ya jumla.

Akasema basi nimtumie kila siku elfu 10,nikamwambia sasa nitakutumiaje wakati hairuhusiwi? Anadai hela nitume tu hakuna tatizo eti nisipomtumia atakula nini?

Kusema kweli nimeshangaa,nataka nimwambie kuwa hizo hela ambazo huwa nampa ni kwa sababu ananipa huduma. Hivi kweli kuna haki bila wajibu? Hebu tusaidiane wanajukwaa.
Factious!
 
..watu hatujui hata tunaamini kitu gani. Dini ni mtindo tu kama ilivyo mitindo ya nguo.
 
Kusema kweli nimeshangaa,nataka nimwambie kuwa hizo hela ambazo huwa nampa ni kwa sababu ananipa huduma. Hivi kweli kuna haki bila wajibu? Hebu tusaidiane wanajukwaa.
Kwani hamkuambizana kama uhusiano wenu ni wa nipe nikupe AKA anauza na wewe unanunua?
 
Kusema kweli nimeshangaa,nataka nimwambie kuwa hizo hela ambazo huwa nampa ni kwa sababu ananipa huduma. Hivi kweli kuna haki bila wajibu? Hebu tusaidiane wanajukwaa.
Kwani hamkuambizana kama uhusiano wenu ni wa nipe nikupe AKA anauza na wewe unanunua?
Hivi ni halali kupokea pesa ya hawara, hasa kipindi cha mfungo wa mwezi mtukufu? Sio haramu kweli hiyo?
 
Mkuu naona dhana ya capacity charges inaingia hapa.

Ni unafiki kujifanya anafunga kukuchepusha huku hela ya kuhongwa au kujiuza anachukua bila kuifanyia kazi ni kama dhuluma fulani hivi.

Akubali kuendelea bila kufunga huduma zake au akubali kufunga na kufungiwa huduma.

Tumekua tunalalama kwenye capacity charges yaani wazalishe umeme wasizalishe utalipa ni ujinga hizo fedha mgaramikie wife wako mwambie mchepuko kwamba na wewe mwezi mtukufu huhongi unahudumia familia kikamilifu ili upate dhawabu pia.
 
watu wanapenda zinaa kwei kwei...so mkeo ndo wa kukufanyia hayo mengine, mchepuko ni dudu tuu....daily buku 10,,, so kbla ya hapo,, ulikuwa unapiga daily?? sheria kuu ya mchepuko lazima akutii bila shuruti....ibilisi wa head
 
Back
Top Bottom