Huyu ndg ameweka wazi kuwa mimba hampi katu kutokana na mchepu kukosa utulivu lkn pia hataki kumuacha.Ndio sana..Bora huyo mtoto mpe wewe , mapenzi yataongezeka
You can tell her mwakani utampa mtoto ila ajirekebishe kwnza na ajiandae kuwa mama wa mtu
Sina uzoefu huo lkn ninaamini ni hivyo piaHata wanaume hawasahau???
Cuz most women hawasahau baba watoto wao,usiombee mtoto amfanane babake..Ni balaa
Ila Wewe[emoji23][emoji23]@suzie _barbie
Hivi jimbo lako limepata mgombea?
Niliona tangazo kuwa mbunge anatakiwa[emoji23][emoji23]
@DeepPond kama hutaki kumpa mtoto akapewa na mwamba mwingine then ujue mapenzi kwako yatapungua na unaweza kubaki danga tu .Huyu ndg ameweka wazi kuwa mimba hampi katu kutokana na mchepu kukosa utulivu lkn pia hataki kumuacha.
Mimi naona kama hamtendei haki.
Umri unasonga
Kumbe je...Mdomo una kazi nyingi., Usipokuwa msafi inakata stimu.Kwenye lile bango kuna kipengele kilinikodha mno......mdomo uwe safi kwani kuna...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo hata lisikuwazishe..Ila ushaur alioutoa shoga ake umenistua Sana,
afu Cha kusikitisha mamaJ kaupokea na kaahidi kuufanyia kazi[emoji26]
So true...Naweza kukubali ili maongezi yaishe but haimaanishi kuwa nitatekeleza.Hilo hata lisikuwazishe..
Sometimes mtu ukishauriwa huwezi kubishana na mshauri,hata kama hujaafikiana na huo ushauri unajidai tuu kuupokea na kuahidi kuufanyia kazi kumbe waaala huna hata mpango.
Karibu, ila usisahau hivyo vigezo vyote[emoji5]Ewaaa...
Nikutembelee nini jmn[emoji28]
Umenikosha hatari
Wewe huna akili kabisaa [emoji3][emoji3][emoji3]Kuna wazo Lina niijia kwamba nipate mtu nnaefahamiana nae amzalishe TU kwanza Kisha aniachie[emoji848]
Ukijaribu hii ndio itakua bai baiKuna wazo Lina niijia kwamba nipate mtu nnaefahamiana nae amzalishe TU kwanza Kisha aniachie[emoji848]
Kwa mlivoshaur, hili wazo nali-cancel@DeepPond kama hutaki kumpa mtoto akapewa na mwamba mwingine then ujue mapenzi kwako yatapungua na unaweza kubaki danga tu .
Lazima atatengenza bond na baby daddy.So the decision is yours bro .
Mwambie ukweli uliyoyasikia na kumpa kuwa sio vizuri maneno ya rafiki yake na kama atajirekebisha mzae hamna shida ataelewa sana tuWazo zur Sana, hebu nilijaribu
Sasa si ukubali kuacha mke oa huyo anayekufikisha ama?Mkuu,
Nmetembea na wanawake wngi Sana, miaka mingi Sana.
Sema hapa kwa uyu kitobo chake nmenasa, achilia mbali tammbia zake mbovu mbovu ila Ni mtamu balaa.
Hicho TU Ndo nmeshindwa kuchomoka
[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]unashangaaa anaoa kabisa yaani usijaribu aseehh!!utajuta kama kumuacha muache,kama kumkeep mkiip!ila hilo ni ujinga wa hali ya juuKuna wazo Lina niijia kwamba nipate mtu nnaefahamiana nae amzalishe TU kwanza Kisha aniachie[emoji848]
Huyo demu akili hana kwa kweli kashfa zote bado yupo!![emoji2][emoji2][emoji2]mi hapana aseehh!!Ha ha ha.....
Mwanzoni alikuja na akili ya kudanga Kwangu, purukushani za hapa na pale nmefanikiwa kumnyoosha Kias chake.
Maana alipoleta habar za mikakati yake kibao ya fedha, nikamgeuzia kibao kwa kua namlipa fedha nyingi baada ya tendo bila kumhudumia chochote.
Akauliza imekuaje, hanielewi.
Nikamfahamisha kua namlipa tu kwa kazi anayoifanya kumlala, nisipomlala Sina haki ya kumlipa.
Pale ananiuzia,
Pesa nnayomlipa akalipe bills zake zote, na Yuko free kumuuzia na mwingine. Sina wiviu nae hata kidogo.
Kwasasa Namchukulia Kama mdangaji na Malaya wa kujiuza tu.
Roho ilimuuma AKaomba msamaha YAKAISHA.