DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
- Thread starter
- #161
Nmekuelewa mkuu,Ni kweli ni risk sana tu ila wewe pia unapaswa kulaumiwa juu ya hilo. Unautumia udhaifu wake kujifurahisha kitu ambacho si kizuri kabisa.
Na bora ingekua unamfool kwa muda bt ulishaapa kua maisha yake ndivyo yatavyokua, ni wewe tu kupata uroda toka kwake.
Unanishaurije Sasa hapo mkuu