Mchepuko wangu kashauriwa bora azae kwanza na yeyote atakayepatikana

Mchepuko wangu kashauriwa bora azae kwanza na yeyote atakayepatikana

Ni kweli ni risk sana tu ila wewe pia unapaswa kulaumiwa juu ya hilo. Unautumia udhaifu wake kujifurahisha kitu ambacho si kizuri kabisa.

Na bora ingekua unamfool kwa muda bt ulishaapa kua maisha yake ndivyo yatavyokua, ni wewe tu kupata uroda toka kwake.
Nmekuelewa mkuu,
Unanishaurije Sasa hapo mkuu
 
Mkuu najua uko na mama J kwa ajili ya kufurahisha nafsi yako tu.
-Hutegemei kuzaa naye
-hutegemei kumwoa.

Je binti yako akipitia hayo utajisikia je?
Nakushauri umwache abahatishe kwingine..umri wa 27 kwa mwanamke jua la jioni hilo.
Dah[emoji848]
 
Dah[emoji848]
Usisahau kumpa mafao kabisa, hata kama mmenuniana, mwachie kitu cha kumbukmbu na kuanzia maisha plz.

Japo huyo dada inaonyesha akili yake ndogo hasa nikifuatilia visa vyake..akili yake ndogo na vitu vya kiswahili...plz mwache tena kwa amani vinginevyo atakulaani mno kwa kumzeesha na usimzalishe wala kumuoa.
 
Nmekuelewa mkuu,
Unanishaurije Sasa hapo mkuu
Mchepuko wako ni chakaramu sana si ajabu mkipata nae mtoto atasumbua pia.

Kama inawezekana muache huru tu. Ama lah basi pateni mtoto nae coz nae ni binadamu na ana ndgu kama wewe na hienda pia anasumbuliwa juu ya hilo.

Kwa mwanamke miaka 27 huyo ni mkubwa mno akifika 30 huyo tayar ashachuja.
 
Mchepuko wako ni chakaramu sana si ajabu mkipata nae mtoto atasumbua pia.

Kama inawezekana muache huru tu. Ama lah basi pateni mtoto nae coz nae ni binadamu na ana ndgu kama wewe na hienda pia anasumbuliwa juu ya hilo.

Kwa mwanamke miaka 27 huyo ni mkubwa mno akifika 30 huyo tayar ashachuja.
Huyo akipata mtoto atamsumbua sana hadi bi mkubwa atajua fasta tu
 
Usisahau kumpa mafao kabisa, hata kama mmenuniana, mwachie kitu cha kumbukmbu na kuanzia maisha plz.

Japo huyo dada inaonyesha akili yake ndogo hasa nikifuatilia visa vyake..akili yake ndogo na vitu vya kiswahili...plz mwache tena kwa amani vinginevyo atakulaani mno kwa kumzeesha na usimzalishe wala kumuoa.
Ngoja niangalie Kwanza kumbadilisha tabia,
kumuacha ntaifanya Kama last option ikiwa juhudi zote kumbadilisha ntashindwa.

Uyu Bado namhitaji Sana mkuu,
Ukzingatia kumpata mbadala wake Ni kipengele kingine kigumu zaidi
 
Ngoja niangalie Kwanza kumbadilisha tabia,
kumuacha ntaifanya Kama last option ikiwa juhudi zote kumbadilisha ntashindwa.

Uyu Bado namhitaji Sana mkuu,
Ukzingatia kumpata mbadala wake Ni kipengele kingine kigumu zaidi
Unawaza nini kuhusu kesho yake?

Huyo naye mtu mkuu.
Najua umepanga utamuacha baadae labda ukipata mbadala lkn machozi yake hayatakuacha salama na itakuwa haki yake kukutolea machozi.

Kuna asubuhi ya mwanamke ikivuka baasi hatakuwa na chaguo zaidi ya kuhitaji mwanaume yeyote maadam anapumua.

Tatu hiyo kei unaichakaza hivyo humwonei hata huruma muoaji mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unawaza nini kuhusu kesho yake?

Huyo naye mtu mkuu.
Najua umepanga utamuacha baadae labda ukipata mbadala lkn machozi yake hayatakuacha salama na itakuwa haki yake kukutolea machozi.

Kuna asubuhi ya mwanamke ikivuka baasi hatakuwa na chaguo zaidi ya kuhitaji mwanaume yeyote maadam anapumua.

Tatu hiyo kei unaichakaza hivyo humwonei hata huruma muoaji mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usemalo Ni SAHII,
Uyu hata Kama nikija muacha, siwez muacha mikono mitupu.

Ndo Maana tangu mwanZo nilitaka nimjengee nyumba akaanza kiraru-raru nikaishia katikati nikatelekeza lile pagale.

Ila nadhani nastahili kulimalizia kwa ajili yake.

Kanisaidia mengi achilia mbali madhaifu yake Yale.
 
Ohooo huwajui wanawake wewe.
Anaweza kubadilika hadi usiamini...utakuta jamaa anamganda na yeye mapenzi yakahama mazima.
Hawatabiriki hawa viumbe mkuu
Na Ndo hapo Ugumu wa kipengele icho mkuu[emoji848]
 
Nina uhakika akizalishwa ndio mwisho wenu...
Upendo wako utapungua au kuisha kabisa.

Shida yake akili ndogo kama vile mzaliwa wa Pwani.
Angekuwa mwanamke wa kaskazini ungewekeza hadi ukome.
Ha ha ha.....
Mwanzoni alikuja na akili ya kudanga Kwangu, purukushani za hapa na pale nmefanikiwa kumnyoosha Kias chake.

Maana alipoleta habar za mikakati yake kibao ya fedha, nikamgeuzia kibao kwa kua namlipa fedha nyingi baada ya tendo bila kumhudumia chochote.

Akauliza imekuaje, hanielewi.
Nikamfahamisha kua namlipa tu kwa kazi anayoifanya kumlala, nisipomlala Sina haki ya kumlipa.

Pale ananiuzia,
Pesa nnayomlipa akalipe bills zake zote, na Yuko free kumuuzia na mwingine. Sina wiviu nae hata kidogo.
Kwasasa Namchukulia Kama mdangaji na Malaya wa kujiuza tu.

Roho ilimuuma AKaomba msamaha YAKAISHA.
 
Back
Top Bottom