Mchepuko wangu kashauriwa bora azae kwanza na yeyote atakayepatikana

Mchepuko wangu kashauriwa bora azae kwanza na yeyote atakayepatikana

Alorogwa hawezi kujitambua kuwa karogwa uchawi unapomkolea !

Mfano mwendawazimu unazani huwa anajitambua kuwa na wazimu?

Wale wanaomzunguka ndio wanaweza kumsaidia!

Wewe unahitaji nduguzo wakusaidie uokoke !
Ha ha ha ..
Hamna mkuu, Niko timamu KABISA. Usiwe na shaka[emoji4]
 
Wewe unaumia nn na wakati ni dhahiri dhahiri utaki muoa uyo binti utaki mzalisha unataka uwe una mt*mb* tu we mtoto wa watu unazani yy anampenda kuwa mchepuko mm Naona tatizo like kwako ww bro uyo mwanamke umemfanya kama Malaya wako Yani ww KAZI yako kumtomb** Tu na kumuachia pesa ya meza huu ni undazi Sana in short unazingua mno tena Sana Ila ujue nn KARMA

Is the BITCH ww pia utapata mtoto wa kike au kama huna mtoto wa kike wajuu zako watoto wa kike watakaozaliwa na watoto wako wa kiume nao watafanyiwa hivyo hivyo kama ww unavyomfanyia uyo binti umuoi ww KAZI yako kumgonga Tu binti wa watu umechukulia umaskini wake ndo kama fimbo ya kumchapia dah....

NB:Wanaume hi hii tabia ya umalaya tuache sio nzuri kwanza ni hasara tupu na gharama why usitulie na mkeo???tunawatesa sana hawa wakina mama,akuna mwanamke asiependa kuwa mke kuolewa kuwa na familia iyo mchepuko mm nashauri ni Bora tuioe na sio kuichezea tuu sio tabia nzuri...
Mkuu comment Yako hii Umeandika kwa hisia Sana, Maneno yako yanachoma mno[emoji26]
 
Kwa umri wako kitobo hakitakiwi kukuendesha, yani kisa ni mtamu au anajua mchezo basi ushindwe kujizuia?
Mkuu,
Nmetembea na wanawake wngi Sana, miaka mingi Sana.

Sema hapa kwa uyu kitobo chake nmenasa, achilia mbali tammbia zake mbovu mbovu ila Ni mtamu balaa.

Hicho TU Ndo nmeshindwa kuchomoka
 
Unachonishangazaga we jamaa ni kutojali hisia/mwelekeo na malengo na huyo mchepuko wako, yani wewe ni wewe tuu.

Bahati nzuri kwako na mbaya kwake ni kua huyo mchepuko akili kisoda, labda kabafikiwa kujua ngono ila kumkichwa inaonekana ni zero kabisa na hiyo ndo loophole unayotumia kumuendesha.
Nadhani na umaskini unachangia kwa kiasi fulani yeye kua hivo alivo.

Hayo mawazo ya mtoto ni lazima awe nayo mkuu, kama kuolewa na ww haiwezekani hapo lazma awaze basi hata kua na mtoto.
 
Unachonishangazaga we jamaa ni kutojali hisia/mwelekeo na malengo na huyo mchepuko wako, yani wewe ni wewe tuu.

Bahati nzuri kwako na mbaya kwake ni kua huyo mchepuko akili kisoda, labda kabafikiwa kujua ngono ila kumkichwa inaonekana ni zero kabisa na hiyo ndo loophole unayotumia kumuendesha.
Nadhani na umaskini unachangia kwa kiasi fulani yeye kua hivo alivo.

Hayo mawazo ya mtoto ni lazima awe nayo mkuu, kama kuolewa na ww haiwezekani hapo lazma awaze basi hata kua na mtoto.
Sasa mkuu huoni suala la yeye kuafiki kua na mtoto TU bila hata kujali atakaezaa nae huoni Ni kujirisk zaidi?
 
Mkuu,
Nmetembea na wanawake wngi Sana, miaka mingi Sana.

Sema hapa kwa uyu kitobo chake nmenasa, achilia mbali tammbia zake mbovu mbovu ila Ni mtamu balaa.

Hicho TU Ndo nmeshindwa kuchomoka
 
Ndio ulikosea kumgombeza kwenye hilo ili hali that was her past na hata hakufanya hivyo.Haukua sawa kumjudge ..Past is Past.

Pia , na yeye alikosea kusema atazaa tu na mtu yeyote ilimradi apate faraja ya mtoto eti hawezi kukosa hela ya uji wa mtoto...Malezi ya mtoto siyo uji tu, Atahitaji kuvaa vizuri, kulala mahali pazuri, kula vizuri pamoja na elimu nzuri mbeleni.Je hivyo vyote ataviweza alone kwa hali yake ya uchumi?

So ulikosea mkuu, She was just having an ordinary story with her man and you decided to judge her for her past .

Ungemwambia tu bby sitaki kusikia hizo story basi mambo yaishe..Ila wewe umeyakuzaaaaa
 
Ndio ulikosea kumgombeza kwenye hilo ili hali that was her past na hata hakufanya hivyo.Haukua sawa kumjudge ..Past is Past.

Pia , na yeye alikosea kusema atazaa tu na mtu yeyote ilimradi apate faraja ya mtoto eti hawezi kukosa hela ya uji wa mtoto...Malezi ya mtoto siyo uji tu, Atahitaji kuvaa vizuri, kulala mahali pazuri, kula vizuri pamoja na elimu nzuri mbeleni.Je hivyo vyote ataviweza alone kwa hali yake ya uchumi?

So ulikosea mkuu, She was just having an ordinary story with her man and you decided to judge her for her past .

Ungemwambia tu bby sitaki kusikia hizo story basi mambo yaishe..Ila wewe umeyakuzaaaaa
Kwakweli nilikosea Sana, shukran kwa kunikosoa ktjkhilo[emoji120][emoji18]
 
Kama ya zamani sana, kilichokununisha ni nini sasa? Kwanini wewe huna historia yako pengine chafu chafu.

Utajiskiaje mtu akianza kuku judge depending on your past?
Ubabe ubabe TU wa kijinga, nilijiskia TU kumzingua [emoji18]
 
Ubabe ubabe TU wa kijinga, nilijiskia TU kumzingua [emoji18]
Siyo kila kitu cha kutumia ubabe my dear.

Sometimes unamwambia tu kwa upendo kwamba mamy usinisimulie mambo yako ya zamani..Unapiga hard sex matata hapo mpaka atubu kutosimulia mambo yake ya nyuma

Simple..
 
Back
Top Bottom