Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 2,621
- 10,466
Huyu msanii anaitwa yammi mpelekeeni mauwa yake kutoka kwangu.
Nilikua kwa mchepuko, baada ya game nimeenda kuoga yeye anarekebisha mambo si akaweka huu wimbo, nikawasha shazam ikaudaka unaitwa kiuno
View: https://m.youtube.com/watch?v=TbSuWP0taQw&pp=ygUGWWFtbWkg
Mtoto alikua kavaa kanga tu kimtego, shanga na kikuku, ndani kipichu laini, aisee nilimrukia kuja akili zikaturudia tena ameunguza alichokua anapika.
Yammi popote ulipo hii ngoma kuanzia beat hadi sauti yako inafanya nimuonee wivu anaetoka na wewe.
Nilikua kwa mchepuko, baada ya game nimeenda kuoga yeye anarekebisha mambo si akaweka huu wimbo, nikawasha shazam ikaudaka unaitwa kiuno
View: https://m.youtube.com/watch?v=TbSuWP0taQw&pp=ygUGWWFtbWkg
Mtoto alikua kavaa kanga tu kimtego, shanga na kikuku, ndani kipichu laini, aisee nilimrukia kuja akili zikaturudia tena ameunguza alichokua anapika.
Yammi popote ulipo hii ngoma kuanzia beat hadi sauti yako inafanya nimuonee wivu anaetoka na wewe.