themanhimself176
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,806
- 2,830
mkuu weka ndani mali iyo kama haujaoa usikae kindezi apa town
wenzako wanataka bidhaa kama izo wewe unaziita mchepuko
wenzako wanataka bidhaa kama izo wewe unaziita mchepuko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siri ya mtungi aijuae kata dada!nipo tayari kulipa gharama yoyote hata ikiwa ni maisha!!Ni dhambi hiyo. Rudi kwa wife, utakuja kulipa gharama za maumivu ya mkeo bila kujijua.be careful.
Hongera.Siri ya mtungi aijuae kata dada!nipo tayari kulipa gharama yoyote hata ikiwa ni maisha!!
Nimeshaitikia!Jehannam inakuita
Nimeoa ndoa katoliki haina talaka ingekuwepo ningeshatoa zamani!Umeoa????na kama umeoa em fanya jambo moja mpe talaka mkeo halaf huyo mchepuko muweke ndani...Huna hata aibu mfyuuuuuuuuuuu
Pilipili usoila huwezi jua ukali wake mkuu!Unamrekebisha vipi mtu aliyejaa kiburi na dharau?!?!!mtu ambae hayupo tayari kujifunza na kubadilika!!?Hongera.
Anakosa kipi kwa mkewe!!! Kama ameona mapungufu ni swala la kurekebishana tuu
Shida ni hii ndoa katoliki!la sivyo ningekuwa nishamuoa hakyanani!Kama mzuri muoe
Unaweza kumuacha vile vile..Nimeoa ndoa katoliki haina talaka ingekuwepo ningeshatoa zamani!
Mkuu wewe ni muelewa,no body here knowz exactly wht am passin thru,watu wamebaki kulaumu na kulaani tu!Hilo amekosa kip kuna maswala meng lakin inavyoonekana kuna vitu hapat ndio maana anaona ni vya upekee
Sitak kuusemea moyo wake ndio maana nkasema as long as he is happy who we are to ruin his happness
Achana nao kila mtu Ana starehe yake as long as hyo inakupa amani achana nao fanya yakoMkuu wewe ni muelewa,no body here knowz exactly wht am passin thru,watu wamebaki kulaumu na kulaani tu!
Napita vile....Pilipili usoila huwezi jua ukali wake mkuu!Unamrekebisha vipi mtu aliyejaa kiburi na dharau?!?!!mtu ambae hayupo tayari kujifunza na kubadilika!!?
Hahaha Sharing is caringMwaego usmwache hata kwa utan utan nyie mnajua wanaume hawatosh kabsa iv kila m2 akijmilikisha m1 m1 wengne wataolewa na nan muwache roho mbaya... Sharing is caring jamani...! As long as anakuheshimu jtulze nae tu!....#i just said#huhuhuhu#
Anakosa kipi kwa mkewe!!! Kama ameona mapungufu ni swala la kurekebishana tuu
ana ukimwi piaHivi mchepuko kama huu unauachaje? Ni msafi kuanzia yeye mwenyewe mpaka mazingira anayoishi,ni mkarimu,mcheshi,ana heshima,she is biutiful,sexy body and romantic,anajua kupika utafikiri chef,kunako sita kwa sita ndo dah si mchezo huyu manzi!!Dah!najiona kabisa nimekuwa mateka!!
Na Mwanaume awe na Pesa.... vifanyio kwa Maimartha vipo.Mwanamke awe na qumar tu.....heshima hata mbwa ukimfunza anakuwa nayo.
Habari kama hii bila picha kweli
Siku hizi tunajificha kwenye kivuli cha ''wanawake hamjui mnachotaka'' maana **** maelfu ya wake za matajiri wanaochepuka na makapuku.Na Mwanaume awe na Pesa.... vifanyio kwa Maimartha vipo.