Mchepuko wenye ubora....

Mchepuko wenye ubora....

mkuu weka ndani mali iyo kama haujaoa usikae kindezi apa town

wenzako wanataka bidhaa kama izo wewe unaziita mchepuko
 
Umeoa????na kama umeoa em fanya jambo moja mpe talaka mkeo halaf huyo mchepuko muweke ndani...Huna hata aibu mfyuuuuuuuuuuu
 
hata huyo mke wako.. nae ana mchepuko wake anauwazia zaidi ya wewe unavyomsifia huyo manzi.... usiombe siku uone live..!
 
Hilo amekosa kip kuna maswala meng lakin inavyoonekana kuna vitu hapat ndio maana anaona ni vya upekee
Sitak kuusemea moyo wake ndio maana nkasema as long as he is happy who we are to ruin his happness
Mkuu wewe ni muelewa,no body here knowz exactly wht am passin thru,watu wamebaki kulaumu na kulaani tu!
 
Mkuu wewe ni muelewa,no body here knowz exactly wht am passin thru,watu wamebaki kulaumu na kulaani tu!
Achana nao kila mtu Ana starehe yake as long as hyo inakupa amani achana nao fanya yako
Kama ni dhamb kila mtu atakufa na kuhukumiwa kwa namna yake
 
Mwaego usmwache hata kwa utan utan nyie mnajua wanaume hawatosh kabsa iv kila m2 akijmilikisha m1 m1 wengne wataolewa na nan muwache roho mbaya... Sharing is caring jamani...! As long as anakuheshimu jtulze nae tu!....#i just said#huhuhuhu#
Hahaha Sharing is caring

[HASHTAG]#SamahaniDadaNaombaNisaidieKushea[/HASHTAG]
 
Anakosa kipi kwa mkewe!!! Kama ameona mapungufu ni swala la kurekebishana tuu


nyuchi zinatofautiana laza,,,sasa akachonge kwa fundi,,,kuna mwingine ukiingiza tuu utamu mpaka unasahau stress za magu
 
Hizo sifa km anazo kwanini asiolewe anakuwa mchepuko[emoji57] [emoji57]
 
Hivi mchepuko kama huu unauachaje? Ni msafi kuanzia yeye mwenyewe mpaka mazingira anayoishi,ni mkarimu,mcheshi,ana heshima,she is biutiful,sexy body and romantic,anajua kupika utafikiri chef,kunako sita kwa sita ndo dah si mchezo huyu manzi!!Dah!najiona kabisa nimekuwa mateka!!
ana ukimwi pia
 
Habari kama hii bila picha kweli
bf5f0343e6eb37b37a3c6729a6260c51.jpg
 
Na Mwanaume awe na Pesa.... vifanyio kwa Maimartha vipo.
Siku hizi tunajificha kwenye kivuli cha ''wanawake hamjui mnachotaka'' maana **** maelfu ya wake za matajiri wanaochepuka na makapuku.
 
Back
Top Bottom