jovin607
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 469
- 312
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sishangai ukisema hivyo. Yeye ni maarufu kwa watu waliopo kwenye hii fani Tanzania. Na tulikua tukijikumbusha Enzi hizo. Sawa na tukiwangelea kina method mogela. Thomas kipese.. Hamis Gaga... walikua maarufu kwa tuliowaona kipindi chao. Huwezi kuelewa kwa kwelisema nini brother umeamua kutoa Shout out kwa mwanao tu ili aonekane ni MTU maarufu kumbe wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbeba vitu vizitoKuna mzee baba kaingia hapa ofisini kwangu Kama nusu saa hv, ana kitambi cha kishkaji mtu mzima flani hivi nimempatia huduma akasepa, huyu ni power ilanda...cjui mnamjua?
Mbovu kinyamaNimejikuta nakumbuka filamu ya Shamba Kubwa
Mkuu umenikumbusha mbali sana kuhusu huyu Bro clay! Jamaa alikua anafundisha Tai kondo! Rest in Peace Clay Master , Nipo Mwanza kwa Sasa hakuna kitu àisee!mwana mwanza anaemkumbuka master clay,huyu alikuwa habari ya mjini bwana alikuwa mpole mstaarabu lakini shughuli yake haikuwa yakitoto
Mawashi nomaNikimpa Oezuki Chudan moja tu lazima akae...
hapo akiwa bado ana shangaa shangaa lazima nivute zero stance
kisha nimlamba Mawashageli gyakuzuki mpaka taya lote lisambaratike
Sensei seleman kumchaSensei Will Ringo...
Sensei Ramadhan....
Hivi dame wa sinza yupo?Sio huyu hata kidogo. Wengi wametumia jina hilo kutokana na kujifafanisha kwa kumpenda huyu. Alipokamatwa huyo unayemsema na kuona kwenye gazeti wengi tulistuka. Tukamtafuta sensei akasema nipo. Ni vijana walionipenda hao. Yani ni kama watu kujiita dame mkuu. .... mpaka huyu maarufi anaeimbwa kila siku hilo jina katoa hapo kwa huyu sensei
Mkuu George adolf yu wapi?![]()
Huyo wa kwanza kushoto ndio master kaini ndo alikuwa kiboko wa kharifa kiumbe moto
Kwao ilikuwa Igoma nadhanimwana mwanza anaemkumbuka master clay,huyu alikuwa habari ya mjini bwana alikuwa mpole mstaarabu lakini shughuli yake haikuwa yakitoto
Ni kweli. Ila usikosee. Ukitiwa mkononi utajuta kuzaliwaVichaa tu hao mena bastola njoo urukeruke nikuvunje kiuno mbwa kabisa
Umenikumbusha Kaini, Jimmy na Hassan...watemi wetu wa TA enzi hizoHuyu kiumbe moto alishapigwa mara 2 na master kaini wa tanga kwenye mchezo wa kick boxer ddc Magomeni kuondoa
Mkuu umetisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nikimpa Oezuki Chudan moja tu lazima akae...
hapo akiwa bado ana shangaa shangaa lazima nivute zero stance
kisha nimlamba Mawashageli gyakuzuki mpaka taya lote lisambaratike