Asante Mkuu nakumbuka sana enzi zile za Mawala pale YMCA hivi bado Mawala anacheza karate?Yupo. Na kiumbe moto Ni momoja wa wanafunzi waliopitia kwake. Namaanisha kiumbe moto kapitia kwake mawala ingawa alikwenda mpaka akapata dani 5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Mkuu nakumbuka sana enzi zile za Mawala pale YMCA hivi bado Mawala anacheza karate?Yupo. Na kiumbe moto Ni momoja wa wanafunzi waliopitia kwake. Namaanisha kiumbe moto kapitia kwake mawala ingawa alikwenda mpaka akapata dani 5
Yule ni sensei mkuu. Anafundisha ila Kwa sasa sio sana vijana wake wanaendeleaAsante Mkuu nakumbuka sana enzi zile za Mawala pale YMCA hivi bado Mawala anacheza karate?
Tunaweza kukupa fight na kijana wake mkuuMrembo tu huyo...ma sensei tumetulia na dani zetu za maana
Tunaweza kukupa fight na kijana wake mkuu
Mkuu karate ni mchezo wa kijapani ambao unahusisha miondoko kadha wa kadha ya mikono katika kujilinda na kushambulia.Naomba kujua tofauti ya Karate, Judo na Kung Fu
Nikimpa Oezuki Chudan moja tu lazima akae...Tunaweza kukupa fight na kijana wake mkuu
mkuu unapata tabu kubishana na vijana wa bongo movie na bongo fleva,wanachojua ni kujipodoa na kutundika picha Insta etc, Wenye kujua huu mchezo,tunaheshimu sana kujitoa kwa watu wa aina ya chief KiumbeKiumbemoto ni kipaji kilichopotea kutokana na mazingira ya nchi. Ndo mana tulomuona tunampa heshima. Ni kama kina malota soma. Zamoyoni mogella. Mshairi mahiri Mzee Andanenga na wengi wengine.
Huyo ni mwanafunzi wake zaidi khamis
Anyway lengo halikua kuanzisha ubishi wala kujua kama Kuna mtu anaweza kusimama nae kwa sasa. Lengo ni kukumbuka vipaji vilivyopotea kutokana na mfumo mbaya wa nchi yetu kwenye sera ya michezoNikimpa Oezuki Chudan moja tu lazima akae...
hapo akiwa bado ana shangaa shangaa lazima nivute zero stance
kisha nimlamba Mashageli gyakuzuki mpaka taya lote lisambaratike
Kwani kipaji kimepotea...au uzeee ume mnyemelea.??Anyway lengo halikua kuanzisha ubishi wala kujua kama Kuna mtu anaweza kusimama nae kwa sasa. Lengo ni kukumbuka vipaji vilivyopotea kutokana na mfumo mbaya wa nchi yetu kwenye sera ya michezo
Asante mkuu. Ni kweli. Mana hata mimi nilikua nakumbushia vipaji vilivyopoteamkuu unapata tabu kubishana na vijana wa bongo movie na bongo fleva,wanachojua ni kujipodoa na kutundika picha Insta etc, Wenye kujua huu mchezo,tunaheshimu sana kujitoa kwa watu wa aina ya chief Kiumbe
Sensei Will Ringo...Hivi Santana bado yuko?
Akina sempai Gola
hahaha kitambo sana mkuu,usingeitaja hiyo muvi wala nisingeikumbukaNimejikuta nakumbuka filamu ya Shamba Kubwa
Ila inasikitisha sana kua mtu kama Kiumbe moto na watu kama hao leo hawajulikani na mtu anaweza kuja kuongea atakavyo juu yao. Ilikua tuwape heshima. Tuwaenzi[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]mkuu unapata tabu kubishana na vijana wa bongo movie na bongo fleva,wanachojua ni kujipodoa na kutundika picha Insta etc, Wenye kujua huu mchezo,tunaheshimu sana kujitoa kwa watu wa aina ya chief Kiumbe