Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mobutu mwenyewe alijiita kuku wa zabangqWakongo bana😂 walipoambiwa na Mobutu kuchagua majina ya asili inaonekana walienda fasta ofisi za serikali kutaja majina hovyo
Ni kawaida kusikia mtu anaitwa ndala, mutombo, bila shaka wapo wanaitwa kiazi
Long time sana nipo tky mby kipaji hamna tena.Ooh Mutombo wa JF!
maarifa yangekua yanahamishwa ningekuibia uwezo wako wa kucheza na lugha mtaalamunaFarewell legend!
Your place in the annals of basketball history is well secured.
One of the greatest shot blockers ever.
Hahaha! Thank you ever so much!maarifa yangekua yanahamishwa ningekuibia uwezo wako wa kucheza na lugha mtaalamuna
Picha yake.
Kwenye wimbo unaitwa " ANDRADA" almaarufu kwa wabongo kama " Malembe". Ilikuwa mwaka 1996Poleni ndugu ,jamaa na marafiki.
Nakumbuka hadi Koffie Olomide miaka ya 90s alimpaisha kwenye baadhi ya nyimbo zake.
Saddam Hussein aliishi Duniani miaka 28 tu but he had it all. Alikuwa anaenda checkup ulaya. Alikuwa mfanyabiashara mkubwa sanaNiliwahi kusikia Mwanamuziki wa Congo MBUTA LIKASO akilitaja jina la DIKEMBE MUTOMBO kwenye wimbo wake maarufu niupendao 'Attention Obus".
Na mimi nilikuwa nafikiri huyo Dikembe ni Pedezee fulani aliyeko hapo Congo kama akina Nene Nzimi, Saddam Hussein,n.k maana Wanamuziki wa Congo hupenda kutaja taja majina ya Mapedezee kwenye nyimbo zao.
Aiseee kuna watu wamekula maisha sana. Ndio maana ametajwa sana kwenye nyimbo nyingi za Wanamuziki wa Congo. Saddam Hussein 'Papaa'.Saddam Hussein aliishi Duniani miaka 28 tu but he had it all. Alikuwa anaenda checkup ulaya. Alikuwa mfanyabiashara mkubwa sana
Wanasema aliishi na wanawake wawili ndani ya nyumba moja. Mmoja alikuwa wa ulaya mwingine wa congo
Ndio. Jamaa biashara zake alikuwa anaingiza Usd nk. Kuna siku nilifuatilia documentary fulani youtube ya maisha ya matajiri wa congo wana pesa sanaAiseee kuna watu wamekula maisha sana. Ndio maana ametajwa sana kwenye nyimbo nyingi za Wanamuziki wa Congo. Saddam Hussein 'Papaa'.
Sema ulimuona sio mlikutana.Nlikutana nae Rwanda kwenye project ya BBA few years ago akiwa na Amadou Diallo
Thanks sana LIKUD kwa kunikumbusha.Kwenye wimbo unaitwa " ANDRADA" almaarufu kwa wabongo kama " Malembe". Ilikuwa mwaka 1996