Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Naona Prince Dube ameaga anaondoka Azam, na assume ametimiza masharti aliyotoa Azam, je ataruhisiwa kujiunga na club nyingine wakati dirisha la usajili limefungwa, Januari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana; atatakiwa asubiri hadi dirisha la usajiri lifunguliwe. Sidhani kama Dube anahusisha na timu yoyote ya ndani kwani timu kubwa za Yanga na Simba tayari zimeshajaza nafasi zao za wachezaji wa nje labda ziachie Mchezaji mmoja na kulipa fidia jambo ambalo halina busara kuingia gharama za kuvunja mikataba miwili bila kuwa na uhakika wa kupata faida yoyote hasa kwa vile Dube Ana frequency kubwa sana ya majeruhiNaona Prince Dube ameaga anaondoka Azam, na assume ametimiza masharti aliyotoa Azam, je ataruhisiwa kujiunga na club nyingine wakati dirisha la usajili limefungwa, Januari?
Mikataba daima ni Siri Kati ya wawili labda wakubaliane kuweka Wazi. Za ndaani kabisa Guede na Freddy Wana mikataba ya miezi 6 tu.Hapana; atatakiwa asubiri hadi dirisha la usajiri lifunguliwe. Sidhani kama Dube anahusisha na timu yoyote ya ndani kwani timu kubwa za Yanga na Simba tayari zimeshajaza nafasi zao za wachezaji wa nje labda ziachie Mchezaji mmoja na kulipa fidia jambo ambalo halina busara kuingia gharama za kuvunja mikataba miwili bila kuwa na uhakika wa kupata faida yoyote hasa kwa vile Dube Ana frequency kubwa sana ya majeruhi
Hata akisajiliwa hatocheza mpaka dirisha lifunguliwe.Mikataba daima ni Siri Kati ya wawili labda wakubaliane kuweka Wazi. Za ndaani kabisa Guede na Freddy Wana mikataba ya miezi 6 tu.