Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
- Thread starter
- #21
Ukoloni mchezaji bora wa mwezi anapewa 1ml na outer moja ya MO Energy.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu gani mlichoigwa?Si vibaya jambo zuri kuigwa.
Tena mmelifanyia na upgrade kwa kuongeza kiasi cha pesa anachopewa mshindi.
Hatua nzuri
Kipi mmeigwa mkuuEndeleeni kuiga mazuri ya Simba...Simba ni bulldozer anachonga njia
Aziz K ana hat trick, kafunga comeback, game ngumu ya Derby, kafunga magoli magumu sanahapo kwa aziz na nzengeli pagumu kuamua.
Ahsante kwa taarifa.𝗣𝗥𝗘𝗦𝗦
“Baada ya kuingia mkataba na NIC, uongozi wa Yanga uliunda kamati maalum ya kufanya Tathmini ya mechi zote za mwezi husika na kutupatia majina matatu ya wachezaji watakaowania tuzo ya mchezaji bora kisha sisi tutayaanika kwa wananchi kwaajili ya kuwapigia kura”
“Yafuatayo ni majina matatu ambayo kamati imeyaleta kwa uongozi wa Yanga Kuwania tuzo ya mchezaji bora wa Mwezi, nayo ni Stephane Aziz Ki, Dickson Job pamoja na Max nzengeli, majina haya yatapigiwa kura kupitia Application yetu ya YANGA APP.[emoji2398]Ali kamwe
“Tuzo ya Mchezaji bora wa NIC insurance imezingatia vitu vingi ikiwemo ubora wa NIC kama brand, ubora wa Yanga kwa pamoja na uwepo wa wachezaji wazuri watakaoleta mchuano mkali, hivyo zawadi ya mshindi itakuwa bora, mshindi wa tuzo hizi atapatiwa kiasi cha shilingi milioni 4”
“Lakini pia mbali na kiasi cha Fedha mshindi atapatiwa tuzo itakayomfanya mchezaji apate historia kubwa isiyofutika, wanauliza tuzo hizi tutaanza kuzitoa lini jibu lao ni kwamba, baada ya wananchi kupiga kura, tutatoa tuzo hizi siku ya Jumanne.
Na Simba kaiga kwa nani?Kama KAWAIDA wameiga simba
Aliewaita mbumbumbu mbinguni mazima.Endeleeni kuiga mazuri ya Simba...Simba ni bulldozer anachonga njia
Yaani hawa wanajitoa ufahamu kwakujimilikisha kila kitu kinachohusu mpira wa Bongo,sijui ni depression au nini.Na Simba kaiga kwa nani?
Ndio tukapige kura sasa kwa mchezaji umtakae.Hapo lazima Aziz Kii atachukua kwa urahisi kabisa.
Kwa akili yako ndogo kama kinyesi cha paka, unadhani kua Yanga ni marayake ya kwanza kutoa tuzo ya mchezaji bora ya mwezi?Si vibaya jambo zuri kuigwa.
Tena mmelifanyia na upgrade kwa kuongeza kiasi cha pesa anachopewa mshindi.
Hatua nzuri
Yaani hawa jamaa wanatia aibu sana,wanaweka unazi na ubishi wa kijinga mpaka wanajishushia hadhi.Kwa akili yako ndogo kama kinyesi cha paka, unadhani kua Yanga ni marayake ya kwanza kutoa tuzo ya mchezaji bora ya mwezi?
Kuna watu wakiandika upuuzi huu sishangai, ila sio wewe mkuu.
Mfano CAPO DELGADO, kaanza kufatilia ligi yetu kipindi inaonyeshwa Azam tv, hivyo huwa simchukulii serious, ila wewe hapa umepuyanga.
Umeanza kufuatilia lini mpira?Endeleeni kuiga mazuri ya Simba...Simba ni bulldozer anachonga njia
Alafu wasichokijua hiyo tuzo hapo Yanga sio marayake ya kwanza kutolewa.Yaani hawa wanajitoa ufahamu kwakujimilikisha kila kitu kinachohusu mpira wa Bongo,sijui ni depression au nini.
Aziz K ana hat trick, kafunga comeback, game ngumu ya Derby, kafunga magoli magumu sana
Hawa wameanza kufuatilia mpira baada ya Simba kuingia hizi robo robo zao.Alafu wasichokijua hiyo tuzo hapo Yanga sio marayake ya kwanza kutolewa.
Ilikuepo tangu zamani, sema naona wameamua kuirudisha.
Tatizo kuna watu wameanza kuifatilia ligi yetu kipindi Azam tv walipoanza kuionyesha.
Ukichanganya na umbumbumbu wao ndio tabu kabisa.
Itapendeza pia karibuniTutampa Onana Somba Somba,chezaji lililopendekezwa na Samuel Etoo kuja Simba.