Mchezaji bora wa Mwezi Yanga kulamba milioni nne.

Mchezaji bora wa Mwezi Yanga kulamba milioni nne.

Ukoloni mchezaji bora wa mwezi anapewa 1ml na outer moja ya MO Energy.
 
Hapo napata shida kuamua, Kwa upande wa Aziz Ki msimu huu amebadilika sana, anajituma na kuzitumia nafasi vizuri kufunga. Kwa upande wa Max Nzengeli hivyo hivyo, Anajituma ma anajua kutafuta nafasi na kutengeneza assist zinazozaa magoli, Kimsingi yeyote hapò anastahili, Au wagawane mil 2 kila mmoja.
 
𝗣𝗥𝗘𝗦𝗦

“Baada ya kuingia mkataba na NIC, uongozi wa Yanga uliunda kamati maalum ya kufanya Tathmini ya mechi zote za mwezi husika na kutupatia majina matatu ya wachezaji watakaowania tuzo ya mchezaji bora kisha sisi tutayaanika kwa wananchi kwaajili ya kuwapigia kura”

“Yafuatayo ni majina matatu ambayo kamati imeyaleta kwa uongozi wa Yanga Kuwania tuzo ya mchezaji bora wa Mwezi, nayo ni Stephane Aziz Ki, Dickson Job pamoja na Max nzengeli, majina haya yatapigiwa kura kupitia Application yetu ya YANGA APP.[emoji2398]Ali kamwe

“Tuzo ya Mchezaji bora wa NIC insurance imezingatia vitu vingi ikiwemo ubora wa NIC kama brand, ubora wa Yanga kwa pamoja na uwepo wa wachezaji wazuri watakaoleta mchuano mkali, hivyo zawadi ya mshindi itakuwa bora, mshindi wa tuzo hizi atapatiwa kiasi cha shilingi milioni 4”

“Lakini pia mbali na kiasi cha Fedha mshindi atapatiwa tuzo itakayomfanya mchezaji apate historia kubwa isiyofutika, wanauliza tuzo hizi tutaanza kuzitoa lini jibu lao ni kwamba, baada ya wananchi kupiga kura, tutatoa tuzo hizi siku ya Jumanne.
Ahsante kwa taarifa.
 
Si vibaya jambo zuri kuigwa.

Tena mmelifanyia na upgrade kwa kuongeza kiasi cha pesa anachopewa mshindi.

Hatua nzuri
Kwa akili yako ndogo kama kinyesi cha paka, unadhani kua Yanga ni marayake ya kwanza kutoa tuzo ya mchezaji bora ya mwezi?

Kuna watu wakiandika upuuzi huu sishangai, ila sio wewe mkuu.

Mfano CAPO DELGADO, kaanza kufatilia ligi yetu kipindi inaonyeshwa Azam tv, hivyo huwa simchukulii serious, ila wewe hapa umepuyanga.
 
Kwa akili yako ndogo kama kinyesi cha paka, unadhani kua Yanga ni marayake ya kwanza kutoa tuzo ya mchezaji bora ya mwezi?

Kuna watu wakiandika upuuzi huu sishangai, ila sio wewe mkuu.

Mfano CAPO DELGADO, kaanza kufatilia ligi yetu kipindi inaonyeshwa Azam tv, hivyo huwa simchukulii serious, ila wewe hapa umepuyanga.
Yaani hawa jamaa wanatia aibu sana,wanaweka unazi na ubishi wa kijinga mpaka wanajishushia hadhi.
 
Yaani hawa wanajitoa ufahamu kwakujimilikisha kila kitu kinachohusu mpira wa Bongo,sijui ni depression au nini.
Alafu wasichokijua hiyo tuzo hapo Yanga sio marayake ya kwanza kutolewa.
Ilikuepo tangu zamani, sema naona wameamua kuirudisha.

Tatizo kuna watu wameanza kuifatilia ligi yetu kipindi Azam tv walipoanza kuionyesha.

Ukichanganya na umbumbumbu wao ndio tabu kabisa.
 
Alafu wasichokijua hiyo tuzo hapo Yanga sio marayake ya kwanza kutolewa.
Ilikuepo tangu zamani, sema naona wameamua kuirudisha.

Tatizo kuna watu wameanza kuifatilia ligi yetu kipindi Azam tv walipoanza kuionyesha.

Ukichanganya na umbumbumbu wao ndio tabu kabisa.
Hawa wameanza kufuatilia mpira baada ya Simba kuingia hizi robo robo zao.
 
Back
Top Bottom