Sasa 100,000/= x 30 unapata sh. ngapi kama sio 3M ? Hiyo 3M si anailipa tu kutoka kwenye mshahara wake wa 23M na anabaki na chenji 20M ? Nadhani wewe hesabu ndio zimekupitia pembeniwakati wenzako walikua wanaimba table wewe unajificha chooni
Hivi unadhani Injinia anavyokasirikaga akiona mla mihogo anaukosoa uongozi, unadhani huwa hana sababu? Ishu ni hiyo, anaona wadhamini wao wanakata hela ndefu kwa mtukutu halafu wala mihogo wanapiga makelele tuMshahara wake ni milioni 20+?
Nimekuuliza swali jepesi sana umeleta ngonjera kibao. Nimekuuliza mshahara wake ni zaidi ya milioni 20? Ni swala la kujibu ndio kama una uhakika au hapana au sijui.Hivi unadhani Injinia anavyokasirikaga akiona mla mihogo anaukosoa uongozi, unadhani huwa hana sababu? Ishu ni hiyo, anaona wadhamini wao wanakata hela ndefu kwa mtukutu halafu wala mihogo wanapiga makelele tu
Endelea kupigia hesabu hela za wanaume wenzakoSasa 100,000/= x 30 unapata sh. ngapi kama sio 3M ? Hiyo 3M si anailipa tu kutoka kwenye mshahara wake wa 23M na anabaki na chenji 20M ? Nadhani wewe hesabu ndio zimekupitia pembeni
Kama ni kweli, basi hao Dodoma Jiji washindwe wenyewe kumchinja mnyama.Chama, Mzamiru, Kanoute na Onyango, woye wataikosa mechi ya Simba na DODOMA JIJI. Kwa mfumo ule TUTATOKA KWELI…???
Bm 33 yupo avic town yapata wiki sasaUnaacha kufatilia kama Morison amerudi unafatilia habari za Simba
Msemaji wenu alisema majuzi kuwa hana injurySi ana injury unataka kupandikiza chuki
Saidoo vp?Kikosi cha Simba kimetua jijini Dodoma na wachezaji 19 huku nyota wake 9 wakibakia Dar kutokana na sababu mbalimbali. Simba imesafiri na wachezaji wake wote wapya waliosajiliwa dirisha dogo la usajili Mohamed Mussa, Isamel Sawadogo na Jean Baleke. Watakaosekana ni [emoji3596]
MAJERUHI
Moses Phiri, Clatous Chama, Jonas Mkude, Henock Inonga na Peter Banda.
ADHABU YA KADI TATU ZA NJANO.
Sadio Kanoute, Mzamiru Yassin, Joash Onyango na Pape Sakho.
#mwanaspoti
Unamlipa milion 22 au 17 halafu anachelewa Kambini unampiga faini ya Laki moja Hizi si futuhi.. Kwa hyo angechelewa mwezi anapigwa m3...NeNda ulaya unalimwa mshahara mzima..
Hpa Kazi sana...Kikosi cha Simba kimetua jijini Dodoma na wachezaji 19 huku nyota wake 9 wakibakia Dar kutokana na sababu mbalimbali. Simba imesafiri na wachezaji wake wote wapya waliosajiliwa dirisha dogo la usajili Mohamed Mussa, Isamel Sawadogo na Jean Baleke. Watakaosekana ni ⬇️
MAJERUHI
Moses Phiri, Clatous Chama, Jonas Mkude, Henock Inonga na Peter Banda.
ADHABU YA KADI TATU ZA NJANO.
Sadio Kanoute, Mzamiru Yassin, Joash Onyango na Pape Sakho.
#mwanaspoti
Wadau hamjamboni nyote?
Hiyo ndiyo taarifa rasmi. Ni mshtuko mkubwa. Watu hawaelewi. Sababu haijulikani. Mchezaji tegemeo Clotous Chama almaarufu mwamba wa Lusaka hajasafiri na timu yake kwenda Dodoma kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu Jumapili Jan 22/2023.
Wajuzi mtujuze. Nimekuwekea picha za Chama na Kocha wa Kimataifa wa Simba atokaye Brazil
.View attachment 2488878
View attachment 2488904
Aliumia kwenye mazoezi?
Wacha wakosekane, timu lazima ikacheze kwa juhudi za kutafuta ushindi, na kufungwa hakuwezi kuwa ni excuse ya kuwakosa hao.Chama, Mzamiru, Kanoute na Onyango, woye wataikosa mechi ya Simba na DODOMA JIJI. Kwa mfumo ule TUTATOKA KWELI…???
Ni rafu ipi aliyochezewa ikamtoa nje?Uwanjani juzi