Mchezaji Clotous Chama hajasafiri na Simba kwenda Dodoma

Mchezaji Clotous Chama hajasafiri na Simba kwenda Dodoma

Sasa 100,000/= x 30 unapata sh. ngapi kama sio 3M ? Hiyo 3M si anailipa tu kutoka kwenye mshahara wake wa 23M na anabaki na chenji 20M ? Nadhani wewe hesabu ndio zimekupitia pembeni
Kwa akili zako unadhani mtu mwenye 23M akipoteza 1M haumiii? endelea kukaa kwa shemeji bado hauja jua ugumu wa maisha
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hiyo ndiyo taarifa rasmi. Ni mshtuko mkubwa. Watu hawaelewi. Sababu haijulikani. Mchezaji tegemeo Clotous Chama almaarufu mwamba wa Lusaka hajasafiri na timu yake kwenda Dodoma kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu Jumapili Jan 22/2023.

Wajuzi mtujuze. Nimekuwekea picha za Chama na Kocha wa Kimataifa wa Simba atokaye Brazil

.View attachment 2488878
View attachment 2488904
Au ya Fei Toto yamejitokeza upande wa pili?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hiyo ndiyo taarifa rasmi. Ni mshtuko mkubwa. Watu hawaelewi. Sababu haijulikani. Mchezaji tegemeo Clotous Chama almaarufu mwamba wa Lusaka hajasafiri na timu yake kwenda Dodoma kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu Jumapili Jan 22/2023.

Wajuzi mtujuze. Nimekuwekea picha za Chama na Kocha wa Kimataifa wa Simba atokaye Brazil

.View attachment 2488878
View attachment 2488904
Huyu kocha adhibitiwe
 
7
Kuna mambo ya Maana sana ya kuyajadili.


1. Uuzwaji wa Mabasi na magari kiholela, kwanini wasiwape MASHABIKI Ile Gali kulitumia kusafiria mikoani wakawa wanajichanga Hela zinaenda kwenye Club

2. Magori ya kizembe sana Anayofungwa Manura.

3. Injury za wachezaji Muhimu.
Maendeleo ya Inonga na Phili.

4. Wachezaji Mizigo kama kanute kupunguza mirafu yake
Kukosekana kwa wachezaji zaidi ya Saba.

5 kuelekea uchaguzi mkuu Simba nk
Mapato ya Club kwa Mwaka...
JE yabafanya nini nk nk

6. Usajili mbovu wa Dirisha dogo kuwakosa wachezaji wazuri.


SEMA WENGI AKILI ZETU NI MUFILISI.
 
Back
Top Bottom