ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kwa akili zako unadhani mtu mwenye 23M akipoteza 1M haumiii? endelea kukaa kwa shemeji bado hauja jua ugumu wa maishaSasa 100,000/= x 30 unapata sh. ngapi kama sio 3M ? Hiyo 3M si anailipa tu kutoka kwenye mshahara wake wa 23M na anabaki na chenji 20M ? Nadhani wewe hesabu ndio zimekupitia pembeni
Ni rafu ipi aliyochezewa ikamtoa nje?
Kwani Feitoto amesharudi yangaVipi mkataba wa feitoto mmeacha kuufuatilia?
Au ya Fei Toto yamejitokeza upande wa pili?Wadau hamjamboni nyote?
Hiyo ndiyo taarifa rasmi. Ni mshtuko mkubwa. Watu hawaelewi. Sababu haijulikani. Mchezaji tegemeo Clotous Chama almaarufu mwamba wa Lusaka hajasafiri na timu yake kwenda Dodoma kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu Jumapili Jan 22/2023.
Wajuzi mtujuze. Nimekuwekea picha za Chama na Kocha wa Kimataifa wa Simba atokaye Brazil
.View attachment 2488878
View attachment 2488904
Sasa wewe ulijuaje kama kaumia?Kuumia Kwa mchezaji ni mpaka afanyiwe rafu?
Huyu kocha adhibitiweWadau hamjamboni nyote?
Hiyo ndiyo taarifa rasmi. Ni mshtuko mkubwa. Watu hawaelewi. Sababu haijulikani. Mchezaji tegemeo Clotous Chama almaarufu mwamba wa Lusaka hajasafiri na timu yake kwenda Dodoma kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu Jumapili Jan 22/2023.
Wajuzi mtujuze. Nimekuwekea picha za Chama na Kocha wa Kimataifa wa Simba atokaye Brazil
.View attachment 2488878
View attachment 2488904
Nimepangisha watu nyumba yangu moja, nyingine naishiKwa akili zako unadhani mtu mwenye 23M akipoteza 1M haumiii? endelea kukaa kwa shemeji bado hauja jua ugumu wa maisha
Naby Keita joined the chat 🤣🤣🤣🤣 Captain MarvelousKuumia Kwa mchezaji ni mpaka afanyiwe rafu?