Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Hiyo ndiyo taarifa rasmi. Ni mshtuko mkubwa. Watu hawaelewi. Sababu haijulikani. Mchezaji tegemeo Clotous Chama almaarufu mwamba wa Lusaka hajasafiri na timu yake kwenda Dodoma kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu Jumapili Jan 22/2023.
Wajuzi mtujuze. Nimekuwekea picha za Chama na Kocha wa Kimataifa wa Simba atokaye Brazil
.
View attachment 2488904
Hiyo ndiyo taarifa rasmi. Ni mshtuko mkubwa. Watu hawaelewi. Sababu haijulikani. Mchezaji tegemeo Clotous Chama almaarufu mwamba wa Lusaka hajasafiri na timu yake kwenda Dodoma kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu Jumapili Jan 22/2023.
Wajuzi mtujuze. Nimekuwekea picha za Chama na Kocha wa Kimataifa wa Simba atokaye Brazil
.
View attachment 2488904