Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah natamani warudi wote na ubora wao tuone akina messi wakikaa benchi kumngojea gaucho dk za lala salama,LEO tukiwa tunaadhimisha miaka 37 ya kuzaliwa kwa Ronaldinho Gaucho, mmoja kati ya Wanasoka mahiri kuwahi kutokea katika uso wa Dunia.
Wengi wanaamini bado hakuna mchezaji aliyefanikiwa kuziba pengo lake licha ya uwepo wa Messi na Ronaldo, wapenda soka wote wanam-miss na wanatamani siku zingerudi nyuma ili Gaucho arudi uwanjani.
Je wewe ukiwa kama shabiki na mpenzi wa soka, kama siku zingerudi nyuma ni Mchezaji gani wa soka aliyestafu ungetamani umuone akisakata tena kabumbu?
Dah natamani warudi wote na ubora wao tuone akina messi wakikaa benchi kumngojea gaucho dk za lala salama,
Xabi Alonso
Bila kumsahau Olembe the partner [emoji3][emoji3]NDiefi
ametundika darugaDah Alikuwa mnyama. Cku hizi cjui kapotelea wapi mchizi?
Bila Ya kumsahau Fundi.. Allesandro delpiero na fabio grosso..(hawa ndo walowapa ushindi italy kombe la dunia 2006 wakishirikiana na Marco Matterazi.. Andrea pirlo na Fabio cannavaroAlvaro Recoba (dead ball specialist)
Karel Porbosky
Jaroslav Plasil
Angelos Charisteas
pedro Saviola
Dario Silva(uruguay)
Carlos Valderama(colombia)
ametundika daruga