Mchezaji gani aliyestafu ungependa arudi uwanjani

Mchezaji gani aliyestafu ungependa arudi uwanjani

Gibson Sembuli, Abas Dilinga, Ledga Tenga, Mohamed Kanjole, Ezekiel Greyson Jujuman.
 
LEO tukiwa tunaadhimisha miaka 37 ya kuzaliwa kwa Ronaldinho Gaucho, mmoja kati ya Wanasoka mahiri kuwahi kutokea katika uso wa Dunia.

Wengi wanaamini bado hakuna mchezaji aliyefanikiwa kuziba pengo lake licha ya uwepo wa Messi na Ronaldo, wapenda soka wote wanam-miss na wanatamani siku zingerudi nyuma ili Gaucho arudi uwanjani.

Je wewe ukiwa kama shabiki na mpenzi wa soka, kama siku zingerudi nyuma ni Mchezaji gani wa soka aliyestafu ungetamani umuone akisakata tena kabumbu?
Paul Scholes
 
Kumbe ndo anayezungumziwa.
No comment, wacha niende🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
 
Mkuu kwanini Fernando Redondo haimbwi sana na wanazi wa Real Madrid licha ya mchango mkubwa aliutoa kipindi alichocheza? Na mashabiki maandazi wengi wa Madrid wa kizazi cha sasa hasa hapa Bongo nina uhakika hawamjui huyo mtu.
Redondo akichezea na Raul Gonzales, hiero, r. Carlos, ikar casilas upande wa Real Madrid v man united mchezo ukifanyika old trafford wakiwemo beckham, giggs , roy kean , jaap Stam, p. Schmichel nk . Real Madrid 3-2 Man U . Man of the match redondo kama Nipo sasahihi . CL ilikuwa juu kipindi hicho
 
Redondo akichezea na Raul Gonzales, hiero, r. Carlos, ikar casilas upande wa Real Madrid v man united mchezo ukifanyika old trafford wakiwemo beckham, giggs , roy kean , jaap Stam, p. Schmichel nk . Real Madrid 3-2 Man U . Man of the match redondo kama Nipo sasahihi . CL ilikuwa juu kipindi hicho

Umeandika nini mkuu?
 
Umeandika nini mkuu?
Unaikumbuka hio mechi ? Mimi naikumbuka ilijaa ufundi redondo unayemsema akichangia ufundi mwingi kwenye kiungo.
Ni kiungo bora ambaye hakuwika sana kwenye timu yake ya taifa
 
Back
Top Bottom