Mchezaji gani kwa Sasa unadhani hafai kuendelea kuichezea Yanga?

Kwa Mpumelelo bado nasimama na Tate Mkuu kuwa tuzidi kumpa muda ni mapema sana kumlaumu

Kuhusu Baleke ni kumuonea tu. Kama Mpumelelo hana goli wala assist lakini bado tumechagua kumpa muda kwanini isiwe kwa Baleke mwenye goli moja?

Au kwasababu ni la offside?

Azizi Ki huyu anaanzaga hivi hivi karibia misimu yote, au mshasahau kuna uzi wake humu ambao kila akifunga unafufukiwa?

Sema kwa flow ya timu inavyienda huo uzi unaenda kupotea kabisa.
 
Yanga kapakatwa

Yanga kanyolewa

Yanga kakanyagwa

Yanga kaliwa

Yanga kaukalia

Yanga kabanduliwa

Yanga kashikishwa ukuta

Yanga kapigwa katerero

Uzuri tuliwaambia yanga mapema haina mabega hata bila mate haikwami kwami wakesema ooh tutaizuia na mkono.

Chikoooooooooooola............!!!
 
Interlacustrine R
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…