Mchezaji gani unamkubali kwenye kupiga penati?

Mchezaji gani unamkubali kwenye kupiga penati?

Penati za LAWAMA Zina watu wake..pale United alikuwepo skozi...pale Chelsea alikuwepo lampard..
 
Lauren etame Mayer hajawahi kukosa Arsenal tunamjua Sana alivyokua anapiga penalties na Cameroon pia
 
Penati za LAWAMA Zina watu wake..pale United alikuwepo skozi...pale Chelsea alikuwepo lampard..

Scholes wala hakuwahi kuwa mpiga penati chaguo la kwanza, penati ikitokea ndani ya dk 90 za mchezo basi angeweza kupiga Rooney, Giggs, na wengineo lakini sio Paul Scholes
 
Nyoni ameshsawahi kukosa mara mbili,moja akiwa Stars nyingine Simba. Ambaye sijawahi ona akikosa ni Aggrey Morris wa Azam.
Naomba nikumbushe, sijawahi shuhudia nyoni kukosa penalt haswa simba maana ndio naifuatilia, na nimeifuatilia tokea kipindi cha kina madalaka. Sasa sijajua labda hiyo mechi ilinipita.
 
Kelvin Yondani Cotton Juice


1610134957284.png


------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
1610135101496.png
 
Bruno Fernandez
Agrey Morris
Gigs
RvP
Baloteli
CR7
 
Jioni moja ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa, Simba Vs FC Platnum, mechi ya marudiano ya Klabu Bingwa Afrika, matokeo yakiwa ni 0-0 Simba wanafanikiwa kupata penati, wachezaji wa Platnum wanashinikiza kugomea mechi lakini baadae wanakubali kurejea uwanjani, wanajaribu kumgasi mpigaji wa penati ili kumuondoa mchezoni na lengo likiwa akose penati ile.

Lakini katika utulivu wa hali ya juu, Erasto Edward Nyoni anafunga penati ile na kuwarudisha Simba mchezoni na hatimaye kufuzu hatua ya makundi.

Ni wachezaji wachache sana wenye utulivu mkubwa linapokuja swala la kupiga penati hasa penati ya maamuzi au penati muhimu.

Mchezaji gani unaamini ni bora sana kwenye upigaji wa penati?

Karibuni...
Jorginho
 
Back
Top Bottom