Mchezaji gani wa zamani ambaye hukuwahi kumshuhudia akicheza lakini unaambiwa balaa lake lilikuwa kubwa🔥

Mchezaji gani wa zamani ambaye hukuwahi kumshuhudia akicheza lakini unaambiwa balaa lake lilikuwa kubwa🔥

Nimebahatika kumuona Marehemu Hamis Thobias Gaga, alikuwa mchezaji mzuri hasa middlefied ya juu, lkn Gaga alikuwa akikumbana na Roster Ndunguru vurugu zilikuwa haziishi, Gaga hakumweza kabisa Athuman China wakati wa Simba na Yanga
 
Mimi binafsi sijawahi kumuona marehemu Hamis Tobias Gaga akicheza lakini naambiwa balaa lake lilikuwa kubwa sana. Naambiwa alikuwa anapiga sana mawe. Alikuwa anapiga magoli flani hivi ya kipekee.

Je, wewe ni mchezaji gani hujamuona zama zake lakini story za mtaani zinasema alikuwa moto sana
Charles Boniface Mkwasa
Juma Mkambi General
Leodgar chillah Tenga
Sunday Manara Computer
 
Salum Kabunda "ninja"

George Magere Masatu.

Hamis Kinye

Makumbi Juma.
 
Vizazi Vingi Vimepita kina Hussein Amani Masha,Said Mwamba n.k.. Lkn Kwa Mpira Sijawahi kuona MTU anayenyumbulika kama Gaucho Kwa Wachezaji Wa nje Na Mwamba Wa Lusaka ' Chama' Kwa Ukanda Wetu...!
 
naambiwa kuna mchezaji alikuwa anacheza uchezaji kama chama utulivu,umakini, hata awe kwenye 6 (japo yeye alikua ni balaa ) ,Hana papara na Mali na hata upigaji wake wa penati hasogei mbali na hajawahi kosa. nimemsahau kidogo jina.
 
Uliwahi sikia jina la kitwana Suleiman, Niko bambaga, abdallah bulhani,
 
Athumani Mambosasa, huyu Jamaa wakati nasoma stori zake zilikuwa kali sana, inga kwa wakati huo tulikuwa tunaambiwa tayari ni Marehemu.
 
Ohhh! Kuna njemba moja ilikuwa inaitwa Godian Mapango nayo nimeisikia sana.
 
Bila kusahau Nico Bambaga na Joram Mwakatika
 
Back
Top Bottom