Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Wikiendi hii timu ya mpira wa miguu ya Medeama ya nchini Ghana ilimenyana na timu ya mpira wa miguu ya Bechem
Mpaka dakika tisini zinakwishwa matokeo yalikuwa Bechem 1-2 Medeama
Chakufurahisha katika mechi hiyo Medeama walitanguliwa na Bechem Kwa goli moja amabalo lilisawazishwa na Jonathan Sowah mnamo dakika ya 74,na Kisha Ebenezer Nkhrumah kuipatia Medeama goli la ushindi mnamo dakika ya 84
Na hivyo mpira kuisha Kwa ushindi wa 2-1 Kwa Medeama
Chakufurahisha ni kuwa bwana Sowah alifanikiwa kuwa Man of the Match na kukabidhiwa feni kama zawadi
Zawadi ya feni kweli,duh
Hawakuona zawadi bora zaidi ya hii kweli!?
Tena timu inayoshiriki Klabu Bingwa Afrika!?
Acha waje bongo waone mpira unavyopigwa ndo wajifunze
Mpaka dakika tisini zinakwishwa matokeo yalikuwa Bechem 1-2 Medeama
Chakufurahisha katika mechi hiyo Medeama walitanguliwa na Bechem Kwa goli moja amabalo lilisawazishwa na Jonathan Sowah mnamo dakika ya 74,na Kisha Ebenezer Nkhrumah kuipatia Medeama goli la ushindi mnamo dakika ya 84
Na hivyo mpira kuisha Kwa ushindi wa 2-1 Kwa Medeama
Chakufurahisha ni kuwa bwana Sowah alifanikiwa kuwa Man of the Match na kukabidhiwa feni kama zawadi
Zawadi ya feni kweli,duh
Hawakuona zawadi bora zaidi ya hii kweli!?
Tena timu inayoshiriki Klabu Bingwa Afrika!?
Acha waje bongo waone mpira unavyopigwa ndo wajifunze