Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako sahih kbsa Ni Huku Tanzania tu ndio tinajifanya tuna pesa za kuwapa watu hvyo hovyo Safi tff ya ghna hkn kugawa kagawa pesa hovyoWikiendi hii timu ya mpira wa miguu ya Medeama ya nchini Ghana ilimenyana na timu ya mpira wa miguu ya Bechem
Mpaka dakika tisini zinakwishwa matokeo yalikuwa Bechem 1-2 Medeama
Chakufurahisha katika mechi hiyo Medeama walitanguliwa na Bechem Kwa goli moja amabalo lilisawazishwa na Jonathan Sowah mnamo dakika ya 74,na Kisha Ebenezer Nkhrumah kuipatia Medeama goli la ushindi mnamo dakika ya 84
Na hivyo mpira kuisha Kwa ushindi wa 2-1 Kwa Medeama
Chakufurahisha ni kuwa bwana Sowah alifanikiwa kuwa Man of the Match na kukabidhiwa feni kama zawadi
Zawadi ya feni kweli,duh
Hawakuona zawadi bora zaidi ya hii kweli!?
Tena timu inayoshiriki Klabu Bingwa Afrika!?
Acha waje bongo waone mpira unavyopigwa ndo wajifunze
View attachment 2776744
Kwa man of the match ,hata mm naona sawa, afrika hatupishani sanaWako sahih kbsa Ni Huku Tanzania tu ndio tinajifanya tuna pesa za kuwapa watu hvyo hovyo Safi tff ya ghna hkn kugawa kagawa pesa hovyo
Tshs 280,000 ambayo ni sawa na bei ya perfume wanayopewa Man of the match huko EPL kipindi cha misimu mitatu huko nyuma Uingereza. Siyo mbaya.Mkuu nimegoogle kwenye mtandao wa jiji wa Ghana nimepata majibu haya
Ebu fanya mahesabu Yako
Kama nitakuwa nimekosea,nakaribisha masahihisho
View attachment 2777057View attachment 2777058