Mchezaji mmoja kufunga Mabao 5 ni tukio la aibu

Mkuu acha hila. Nakumbuka Andy Cole mwaka 95 ila sikumbuki timu waliyocheza nayo alifunga goli 5 peke yake katika ushindi wa goli 9.
Kwahiyo sio wa kwanza na wala sio ajabu. Tuache negativity kwa kila jambo.
haya magoli alifunga wakati zimebaki mechi ngapi za ligi?je alikuwa anepitwa goli ngapi na anayeongoza kwa magoli?
 
Eti Mayele kufunga magoli 16. Yote ya nini? Kumzuia Saido asichukue kiatu mwaka huu?
Aibu tupu.
Mayele hajawahi kufunga magoli 5 kwa mechi moja,tena wakati zimebaki mechi 2
 
usichanganye mada
 
Eti mchezaji mmoja anafunga goli 5 kwenye mchezo mmoja? yote ni nini?kumzuia Mayele asichukue kiatu mwaka huu.

View attachment 2648354
Aibu tupu.

Malengo ya simba kila siku yanabadilika, sasa team inataka kuwa mfungaji bora,
Basi waruhusiwe magoli ya team nzima yajumlishwe, waendaliwe dinner na kupongezwa na Job Ndungai, wakodishiwe BM coach ile class ya juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…