Kuna shabiki wa Yanga nmemskia anaituhumu Simba imenunua game.Eti mchezaji mmoja anafunga goli 5 kwenye mchezo mmoja? yote ni nini?kumzuia Mayele asichukue kiatu mwaka huu.
View attachment 2648354
Aibu tupu.
Eti mchezaji mmoja anafunga goli 5 kwenye mchezo mmoja? yote ni nini?kumzuia Mayele asichukue kiatu mwaka huu.
View attachment 2648354
Aibu tupu.
mfano wa hayo matatizo?Utopolo mna matatizo ya kisaikolojia sio bure
acha ulipyoto jibu hoja hiyo kama huna hoja acha kujamba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani nyie jamaa hamriziki kabisa? Nyie si mmechukua kombe la medali huko algeria mnataka na kiatu tena cha saidoo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msemaji wetu kasema tushangilie tuna Mfungaji Bora.sio wivu ni jambo la kushangaza sana
Tutapangiwa Galaxy a.k.a MakilikiliUtopolo wanajifariji...!
Duh....Eti wametolewa Kikanuni...!
Kanuni Zimewashtukiza hawakuzijua...!
Ingekuwa ni Kosa Kubwa Sana Limefanyika Uto Kuchukua Kombe lolote Afrika Kabla Ya Simba..!
Na ilivyo hapa Tz, Jambo Lolote linalohusu Soka Lazima Simba ianze halafu Yanga ifuatie..!
Baadhi ya mambo Ambayo Yanga Wanajaribu kuiga:
1. Kuendesha Timu kwa Mfumo wa Ubia
2. Ujenzi Wa Uwanja Wa Timu(Tayali Simba Wanao huko Boko kwa Maandalizi ya timu imebaki Kuuboresha kwa Majukwaa na Vinginevyo)
3. Wiki ya Simba
4.Kucheza Fainali kombe la CAF
Mwakani msahau kufika huko, hamtapangiwa tena Zalani,Marumo,Bamako,Rivers na Maganda ya ndizi ya Kiarabu Monastir,Africain na USMA wachovu.!
Unamuamini huyo, shauri yako.Msemaji wetu kasema tushangilie tuna Mfungaji Bora.
Una wajua Tanzania prison?? Alie kwambia wameshuka daraja nani ? Match ya kujipigia ni ya simba wanao cheza na Costal union hawa ni ndugu lazima Saidi aji pigie tu wata ungana hadi na costal kumpa pass sideMechi ijayo yanga anacheza na alieshuka daraja tayari, hapo mayele ni kutupia tu dadeki.
kocha atakua anapiga simu dar, vp uko kaweka ngapi huyo, na yeye huku anamwambia kocha wa prisons hebu fanya bwana mdg aongeze hata matatu.
Hana huo ubora,angalia kwenye nafasi kumi za kufunga yeye anafunga ngapi?mayele hajawahi kufunga magoli 5 kwa mechi moja,tena wakati zimebaki mechi 2
So what funga na weweEti mchezaji mmoja anafunga goli 5 kwenye mchezo mmoja? yote ni nini?kumzuia Mayele asichukue kiatu mwaka huu.
View attachment 2648354
Aibu tupu.
So what funga na weweEti mchezaji mmoja anafunga goli 5 kwenye mchezo mmoja? yote ni nini?kumzuia Mayele asichukue kiatu mwaka huu.
View attachment 2648354
Aibu tupu.
NakaziaMmekwishaaa...
Hii comment ilipaswa kuwa UziUtopolo wanajifariji...!
Duh....Eti wametolewa Kikanuni...!
Kanuni Zimewashtukiza hawakuzijua...!
Ingekuwa ni Kosa Kubwa Sana Limefanyika Uto Kuchukua Kombe lolote Afrika Kabla Ya Simba..!
Na ilivyo hapa Tz, Jambo Lolote linalohusu Soka Lazima Simba ianze halafu Yanga ifuatie..!
Baadhi ya mambo Ambayo Yanga Wanajaribu kuiga:
1. Kuendesha Timu kwa Mfumo wa Ubia
2. Ujenzi Wa Uwanja Wa Timu(Tayali Simba Wanao huko Boko kwa Maandalizi ya timu imebaki Kuuboresha kwa Majukwaa na Vinginevyo)
3. Wiki ya Simba
4.Kucheza Fainali kombe la CAF
Mwakani msahau kufika huko, hamtapangiwa tena Zalani,Marumo,Bamako,Rivers na Maganda ya ndizi ya Kiarabu Monastir,Africain na USMA wachovu.!
Una hoja lolote lawezekana mpira wetu hauaminiki sana.haya magoli alifunga wakati zimebaki mechi ngapi za ligi?je alikuwa anepitwa goli ngapi na anayeongoza kwa magoli?
Tuambie Kagere alifunga goli ngapi za penat kati ya hizo 23?Mayele is overrated! Hakuna msimu amefikisha goli 17.
Na msimu huu mfungaji bora ni Saido Ntibazonkiza.
Striker wa kigeni kuwahi kuwepo Tanzania ni Medie Kagere tu. Akiwa Simba sc msimu wa kwanza goli 23 msimu uliofuata goli 22 na mpaka anaondoka Simba sc aliishia goli 14.
Misimu mitatu goli 59.[emoji123]
Aloo nimechanganya na polisi aisee .Una wajua Tanzania prison?? Alie kwambia wameshuka daraja nani ? Match ya kujipigia ni ya simba wanao cheza na Costal union hawa ni ndugu lazima Saidi aji pigie tu wata ungana hadi na costal kumpa pass side