Tutabishana yote ila ukweli ndio huo we unafikiri msuva kucheza huko kwa warabu habaguliwi? Unakuta anabaguliwa sana tu ila anakaza roho sababu yupo kwenye utafutaji.Wewe hujakutana na ubaguzi bado. Ni bora huyo Kingstone anabaguliwa na mashabiki. Sasa yeye Farid ndani ya timu kumejaa ubaguzi hapo unatokaje? Though kiukweli siwezi nikakupinga waliowengi hawana moyo wa kupambana
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app