Mchezaji wa Al Merreickh Auawa

Mchezaji wa Al Merreickh Auawa

Mchezaji wa soka kutoka team ya Al Merreickh ya Sudan aitwae Ahmed Abdelsalam, hapo pichani chini, ameuawa kwa kupigwa risasi akiwa mapumzikoni nyumbani kwake.

Mchezaji huyo amekutwa na umauti huo kutokana na vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea nchini humo, ambapo pia league imesimama na wachezaji kurejea makwao kwa mapumziko kupisha vita hiyo, huyu mchezaji nilimuona uwanjani pale kwa Mkapa wakicheza na Simba, wakati wa mashindano ya simba Super Cup

Ila jamani vita sio jambo zuri kabisa, na huwa wanaoumia, kuteseka, na hata kufa ni wale wasio na hatia, kijana mdogo aliyekua anapambania career yake, amezimika ghafla km mshumaa.

RIP handsome boy!!! [emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 2660332
Dahhh! Afrika!! Kuna watu wajinga sana!!

Wanao wapiganisha wamekaa wanawacheka tu... Ni ujinga sana
 
So sad,
Kuna mambwiga wanakuambia Bora vita kisa wameshiba ugali
wamezoea zile vita wanazochezesha kwny Play station

una mlo mmoja na nusu ndio hapo Amani ipo tangu uhuru …mkitibuana hali itakuaje ?

Allah atuepushe na vita na machafuko ya namna yoyote kwa sababu zozote vile
 
Vita ni mbaya ila kwa bahati mbaya sana katika maisha ya mwanadamu kuna wakati vita ni muhimu na lazima.

Usinishambulie mimi, google "just and unjust wars", wabobezi wa mambo wameyaongelea hayo.
kwanini tugugo faida ya vita wakati tunao wa Congo wana vita tangu uhuru, Somalia tangu 1990th, Burundi, Rwanda n.k

tupeni faida ya vita kwa mifano rahisi na ya dhahiri ya majirani zetu

Nchi zote zinazotuzunguka tunakabiliwa na wimbi la watu wa Nchi hizo kupambana wawe wa Tanzania na husikii wimbi la wa Tz kupambana kuwa Nchi za jirani

kama vita inaleta hizo faida za kugugo wee hamia tu kwa jirani ufaidike na hizo faida
 
kwanini tugugo faida ya vita wakati tunao wa Congo wana vita tangu uhuru, Somalia tangu 1990th, Burundi, Rwanda n.k

tupeni faida ya vita kwa mifano rahisi na ya dhahiri ya majirani zetu

Nchi zote zinazotuzunguka tunakabiliwa na wimbi la watu wa Nchi hizo kupambana wawe wa Tanzania na husikii wimbi la wa Tz kupambana kuwa Nchi za jirani

kama vita inaleta hizo faida za kugugo wee hamia tu kwa jirani ufaidike na hizo faida
Sijachochea vita na kwenye haya mazungumzo wala sipo. Kwaheri.
 
Wanaotaka vita wao waendelee tu, ila mimi sitaki kuisikia kabisa. Maana vita inaweza kusababisha nishindwe kula mbususu kwa raha (wanaokula mbususu kwa raha,tena za bure kabisa ni askari wapiganaji on both sides, ila siyo sisi raia).

Imagine eti nianze kukimbia kimbia hata nikisikia sauti ya popcorn [emoji897] zikipasuka nikimbie kama Usain Bolt, shida ya nini hii? Yaani niwakose mademu wangu wa UDSM kwasababu ya bandari? Kama kuchukuliwa ichukuliwe tu. Kwanza wanaofaidi ni mafisadi na wafanyakazi wezi walioko pale, mimi hainisaidii lolote.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Vita ni mbaya ila kwa bahati mbaya sana katika maisha ya mwanadamu kuna wakati vita ni muhimu na lazima.

Usinishambulie mimi, google "just and unjust wars", wabobezi wa mambo wameyaongelea hayo.
Hana hata haja ya Kugugo. Asome tu Biblia Agano la Kale itampa picha halisi.
 
Back
Top Bottom