uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Alinukuliwa mshambuliaji mwenza wa Al Nassr baada ya mechi, "Kuwa na ronaldo hapa kwenye timu ya Al Nassr ni jambo zuri lakini kama siku zote ninavyosema ningependelea Leon Messi ajiunge nasi kwasababu Messi anaweza kufanya kile ambacho hakuna mchezaji anaweza kufanya."
Tumwombee Ronaldo awe mvumilivu, anaweza kuzira.
Tumwombee Ronaldo awe mvumilivu, anaweza kuzira.