Mchezaji wa Baroka FC Abdi Banda afunga ndoa na dada wa mkali wa Bongo Fleva Alikiba

Diamond atasubiri sana mwaka.
 
Ndoa inafungwa asubuhi sanaaaa
Kuna jamaa yangu alioa alfajiri hivyo hivyo akaniambia wameambiwa na wataalam wa nyota kwamba huo muda ndio ndoa itakua na baraka,nadhani na hawa wameambia na warithi wa Sheikh Yahya
 
Zabibu anapenda wachezaji Mpira jamani kaah
 
Kwa mtazamo wako uko hvyo ila kwao kuolewa ni jambo kubwa mnoo na La kiheshima sana!haswaa kwa familia za wasanii!!kufurahi lazima
 
Stara ya mwanamke ni ndoa....Dada yako akiolewa maana yake kapata mtu wa kumstiri na kukufichia wewe aibu yako!!!..........

Kipi kingekufurahisha zaidi!!?

Dada yako kuwa kivuruge mtaani kwenu na kukufedhehesha au kupata Mtu halali wa kumsitiri...!!?
 
Si bora uyo kaolewa kaka zake wamefuahi kujua atakaembandua tena kihalali kabisa
 
Exactly mkuu
 


Kwani wanawake wasioolewa wote ni vivuruge?
 
Huyu kinachomuuma ni kuwazia jinsi anavyowafanya watoto wa wenzake anaona bora dada ake asiolewe...
 
Nadhani tunayatazama mambo kwenye mrengo tofauti kabisa.....

STARA YA MWANAMKE INAPATIKANA KWENYE NDOA


Sikubaliani na wewe kwamba mwanamke akiolewa ndio kapata mtu wa kumsitiri. Mtu yoyote, mwanamke au mwanaume stara anayo mwenyewe. Wapo ambao wapo kwenye ndoa lakini bado hawajatulia na wengine ambao hawajaoa au kuolewa bado wanajiheshimu. Futa kauli yako kwamba wasioolewa ni vivuruge.
 
Ahsantee
 
Ndio maana nikasema tunaongelea mambo kwenye mlengo tofauti......

BTW naheshimu mawazo na mtazamo wako!!!!!

Uwe na siku njema!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…