Mchezaji wa Baroka FC Abdi Banda afunga ndoa na dada wa mkali wa Bongo Fleva Alikiba

Una fikra za kiboya sana.

Kama hujui; kwa Waislam ndoa ni ibada.
 
Alafu mnaishije akivunjwa mguu huko mpiran na wachezaji jamani ni wachafu bora wa kikapu wana.nafuu



Wachezaji wanawekewa bima dada. Halafu unawasema wacheza mpira wachafu, je wanaoolewa na wapiga debe utasemaje?
 
Hilo jambia halahala mtu anaweza badili mawazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…