Washabiki wa Chelsea mna mchezaji aliyetajwa hapo juu?
m zanzibar si mtanzania?yupo mwengine m znz anaitwa ismail feruzi na yeye anachezea chelsea.ni mchezaji mzuri ambae analipwa vizuri.Huyu mtoto yupo academy ya Chelsea .. Ni mzanzibar
Ndiyo tunae ila yeye yupo Chelsea ya watoto!
m zanzibar si mtanzania?yupo mwengine m znz anaitwa ismail feruzi na yeye anachezea chelsea.ni mchezaji mzuri ambae analipwa vizuri.
m zanzibar si mtanzania?yupo mwengine m znz anaitwa ismail feruzi na yeye anachezea chelsea.ni mchezaji mzuri ambae analipwa vizuri.
Ndiyo tunae ila yeye yupo Chelsea ya watoto!
feruz islam ni msomali mwenye uraia wa scotland.......
trust me sio msomali,amejiripua tu.tatizo utaifa wako unaukana,unakuwa professional na kitu,unajulikana taifa jengine.naongea kwa fact.original ni m znzferuz islam ni msomali mwenye uraia wa scotland.......
wapo wengine,wanachezea timu ndogo ndogo ni wachezaji wazuri tu,ila utaifa sio.wakifanikiwa watajulikana utaifa ambao sio wao