Mchezaji wa Fiorentina aanguka uwanjani. Hali yake mbaya.

Mchezaji wa Fiorentina aanguka uwanjani. Hali yake mbaya.

Yes. Sijui waliobet mechi ikiahirishwa kama hivyo inakuwaje?
Ukibeti, mechi kama hiyo odds zake zinashushwa na kuwa 1.00 ambayo ni sawa na hamna kitu.
Hii ina maana kama ulikuwa na odds 100 tutafanya hivi;
100÷1.41 = 70.92.
Screenshot_20241201-221920_MelBet~2.jpg

Kwa hiyo utalipwa kwa zile zilizochezwa tu.

Hiyo iliyoahirishwa kama itacheza ndani ya saa 48, bookie ataushikilia mkeka wako mpaka hiyo mechi ichezwe. Kama hakuna ratiba au ni zaidi ya saa 48, bookie atakulipa pesa yako ndani ya masaa 48 mmalizane kila mtu afe na chake.

Note: Sheria zinatofautiana kati ya bookie na bookie.
 
Yes. Sijui waliobet mechi ikiahirishwa kama hivyo inakuwaje?
Kama refa alimaliza mechi baada ya ilo tukio basi mechi itaondolewa kwenye mkeka na ikotokea mechi zilizobaki zote umeshinda basi zile odds za iyo mechi zitagawanywa pale kwenye ile hela ya ushindi inayosoma kwenye mkeka na utapewa kiasi kinachobaki
 
Yes. Sijui waliobet mechi ikiahirishwa kama hivyo inakuwaje?
Ukibeti, mechi kama hiyo odds zake zinashushwa na kuwa 1.00 ambayo ni sawa na hamna kitu.
Hii ina maana kama ulikuwa na odds 100 tutafanya hivi;
100÷1.41 = 70.92.
screenshot_20241201-221920_melbet-2-jpg.3166818

Kwa hiyo utalipwa kwa zile zilizochezwa tu.

Hiyo iliyoahirishwa kama itacheza ndani ya saa 48, bookie ataushikilia mkeka wako mpaka hiyo mechi ichezwe. Kama hakuna ratiba au ni zaidi ya saa 48, bookie atakulipa pesa yako ndani ya masaa 48 mmalizane kila mtu afe na chake.

Note: Sheria zinatofautiana kati ya bookie na bookie.
Wanilipe sasa
Majibu ya nyongeza
Screenshot_20241202-064944_MelBet.jpg
 
Ukibeti, mechi kama hiyo odds zake zinashushwa na kuwa 1.00 ambayo ni sawa na hamna kitu.
Hii ina maana kama ulikuwa na odds 100 tutafanya hivi;
100÷1.41 = 70.92.
screenshot_20241201-221920_melbet-2-jpg.3166818

Kwa hiyo utalipwa kwa zile zilizochezwa tu.

Hiyo iliyoahirishwa kama itacheza ndani ya saa 48, bookie ataushikilia mkeka wako mpaka hiyo mechi ichezwe. Kama hakuna ratiba au ni zaidi ya saa 48, bookie atakulipa pesa yako ndani ya masaa 48 mmalizane kila mtu afe na chake.

Note: Sheria zinatofautiana kati ya bookie na bookie.

Majibu ya nyongezaView attachment 3167021
Vijana mmeharibika sana bet itawamaliza
 
Back
Top Bottom