Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Mchezaji wa Fiorentina aitwae Edoardo Bove ameanguka uwanjani na kupoteza fahamu wakati wa mchezo kati ya timu yake na Inter Milan kwenye Ligi kuu ya Italia.
Tukio hilo limetokea ghafla dakika chache baada ya mchezo huo kuanza.
Kapelekwa Hospital.
Tukio hilo limetokea ghafla dakika chache baada ya mchezo huo kuanza.
Kapelekwa Hospital.